Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuztuma kwa njia ya document ndo kukoje?Mimi huwa nachukua namba zao kwa kuwaomba kuwapiga picha kutumia simu yangu
Hii simu ni hatari sana kwenye camera yaani nikishampiga/wapiga picha mbili tatu halafu nikawaonyesha hizo picha huwa nasikia waoooooooooo jamani picha nzuri
Nitumie/tutumie hizo picha
Hapo hapo naomba naomba yake/zao nawatumia kwa njia ya what's App halafu nazituma kwa njia ya documents inamfikia kama zilivyopigwa
HUO HUWA NI MWANZO MWEMA NA YAJAYO HUWA YANAFURAHISHA
Unaangalia stutas za vyombo na viatu.Mkiwa Kwenye party ile mida ya kujiphotoa jisogeze karibu ya mkaka au mdada ambaye Ni crush wako Kisha muombe apige nawe picha kwa kutumia Simu Yake.
Ili kufanikisha Hilo kwa urahisi, Zima Simu yako Kisha mwambie Simu yako imezima kwa hiyo mkapige picha pamoja kwa kutumia Simu Yake.
Wakati wa kuondoka basi jisogeze kwake Kisha mwambie Kama hatojali umpe number yako ili baadae akutumie hyo picha Kwenye what's up ili na wewe uweze kutunza kumbukumbu ya tukio kupitia ile picha.
Hapa natumai utakuwa na lengo Moja tu la kupata number ya huyo mdada/ mkaka Wala huna haja na hiyo picha[emoji23]
Akishakutumia picha mliopiga pamoja Kwenye what's up baaasi, number Yake utakuwa umeipata kirahisi namna hiyo.Kisha utaanza process ya kumtongoza pole pole mpaka anaingia kingi mazima[emoji23][emoji23]
Unaangalia stutas za vyombo na viatu.
Mm nilikuwa natumia mbinu moja ya kivita yani naenda town au kwenye vyuo naangalia pic itakayo kuja nunua vocha ikisha nunua ikiingiza tu mm nasubiria itupe ile vocha mm nalokota na kuingiza napata namba 5 za mwisho alafu napiga 100 wao wanajiresi wanataja 5 za mwanzo kuwa hio vocha imetumika kwenye namba hizo mm nakuwa nishamaliza kazi ya kupata namba kazi ifuatayo ni kupanga swaga tu
We kubwa jinga Hakuna member humu anayeitwa Robert Heriet, Mimi ninayemjua anaitwa ROBERT HERIEL.Tajiri hana muda wa kuandika topic mbovu zisizo na kichwa wala miguu kama huna kitu kichwani jifunze kwenye topic za wataalamu wabobevu mtafute Robert Heriet atakusaidia kisaikolojia.
Hyo sura ya kupigia hyo picha unayo?
We kubwa jinga Hakuna member humu anayeitwa Robert Heriet, Mimi ninayemjua anaitwa ROBERT HERIEL.
Acha kubeba mavi kichwani.
[/QUOTESawa lakini ujumbe si umeupata basi mtafute.We kubwa jinga Hakuna member humu anayeitwa Robert Heriet, Mimi ninayemjua anaitwa ROBERT HERIEL.
Acha kubeba mavi kichwani.
Dah.....kweli bana....muda wenyewe uko wapi? 🤣 🤣 🤣 🤣Mambo ya kupeana namba yamepitwa na wakati, funguka tu kama a akupe au hakupei..
Dah......njia ndefu sana hiyo dogo 🤣🤣🤣🤣Mkiwa Kwenye party ile mida ya kujiphotoa jisogeze karibu ya mkaka au mdada ambaye Ni crush wako Kisha muombe apige nawe picha kwa kutumia Simu Yake.
Ili kufanikisha Hilo kwa urahisi, Zima Simu yako Kisha mwambie Simu yako imezima kwa hiyo mkapige picha pamoja kwa kutumia Simu Yake.
Wakati wa kuondoka basi jisogeze kwake Kisha mwambie Kama hatojali umpe number yako ili baadae akutumie hyo picha Kwenye what's up ili na wewe uweze kutunza kumbukumbu ya tukio kupitia ile picha.
Hapa natumai utakuwa na lengo Moja tu la kupata number ya huyo mdada/ mkaka Wala huna haja na hiyo picha😂
Akishakutumia picha mliopiga pamoja Kwenye what's up baaasi, number Yake utakuwa umeipata kirahisi namna hiyo.Kisha utaanza process ya kumtongoza pole pole mpaka anaingia kingi mazima😂😂
namba ni ushahidi hasa kwa sie wenye manzi zaidi ya mmoja, bora mwanamke umkabe hadi kieleweke.. ikitokea hapo miadi unaenda kamua maziwaDah.....kweli bana....muda wenyewe uko wapi? 🤣 🤣 🤣 🤣