Njia rahisi ya kupata number ya mkaka/ mdada unayemcrushia

Kuztuma kwa njia ya document ndo kukoje?
 
Unaangalia stutas za vyombo na viatu.
Mm nilikuwa natumia mbinu moja ya kivita yani naenda town au kwenye vyuo naangalia pic itakayo kuja nunua vocha ikisha nunua ikiingiza tu mm nasubiria itupe ile vocha mm nalokota na kuingiza napata namba 5 za mwisho alafu napiga 100 wao wanajiresi wanataja 5 za mwanzo kuwa hio vocha imetumika kwenye namba hizo mm nakuwa nishamaliza kazi ya kupata namba kazi ifuatayo ni kupanga swaga tu
 
Kwanini kujichosha kiasi hicho Mkuu?. Binafsi nikivutiwa na mdada namnyookea direct tu hata kama yupo na kundi la wenzake, potelea pote hata chemba simuiti, hao wenzake ndio watasogea watuache wenyewe ila hata wakibaki napo fresh tu.

Muhimu ukiwa kwenye hiyo harakati jua kuna mawili, kukubaliwa au kukataliwa na yote ni mambo ya kawaida, akichomoa hauwezi kuwa mnyonge.

NB: Usitongoze mwanamke sababu ni mzuri, tongoza mwanamke sababu ni mwanamke.
 
😂😂 umetisha Sana mkuu
 
Tajiri hana muda wa kuandika topic mbovu zisizo na kichwa wala miguu kama huna kitu kichwani jifunze kwenye topic za wataalamu wabobevu mtafute Robert Heriet atakusaidia kisaikolojia.
We kubwa jinga Hakuna member humu anayeitwa Robert Heriet, Mimi ninayemjua anaitwa ROBERT HERIEL.

Acha kubeba mavi kichwani.
 
Dah......njia ndefu sana hiyo dogo 🤣🤣🤣🤣
 
Dah.....kweli bana....muda wenyewe uko wapi? 🤣 🤣 🤣 🤣
namba ni ushahidi hasa kwa sie wenye manzi zaidi ya mmoja, bora mwanamke umkabe hadi kieleweke.. ikitokea hapo miadi unaenda kamua maziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…