Njia sahihi ya kufanya mazoezi - Shika jembe toa jasho kwishaa

Njia sahihi ya kufanya mazoezi - Shika jembe toa jasho kwishaa

Mkuu naomba kujua mtu unajuaje kwamba nina calories nyingi ama chakula nilichokula ni kingi hivyo nikipunguze kwa mazoezi,unatumia kipimo gani kujua jambo hilo la kuzidi kwa calories ?

Mafuta(akiba ya mwili) ili uyachome inatakiwa kusiwe na option ya source nyingine ya mwili kuzalisha hapo ndipo mwili utaanza kuchokonoa mafuta na kusnza kuyatumia.

Je suala la kwamba punde tu unapoanza zoezi na kutoka jasho dakika au masaa kadha ati kwamba ndo umechoma mafuta lina ukweli gani tukizingatia kwamba mafuta kuchomwa ni last option ya mwili ?
Kiasi cha Energy unayotumia wakati wa kufanya kazi yoyote inayokufanya unatoa jasho basi hapo unachoma Calories. Kiasi cha energy iliyo mwilini inatakiwa kiondoke na kuondoka ni kufanya shuguli kama kazi za mikono au kutembea au kukimbia. ukitaka kujua kuwa una kiasi cha ziada unachotakiwa kukitoa mwilini kuna njia ya BMI yaani chukua urefu wako toa 100 kinachobakia basi ndio uzito sahii unaotakiwa kuwa nao ikiwa zaidi uzito umezidi

Mfano una urefu wa SM 180 hapo toa 100 unabakiwa na 80 huo ndio uzito sahihi unaotakiwa kuwa nao ikiwa zaidi hapo fanya zoezi... lima mzee...
 
Kiasi cha Energy unayotumia wakati wa kufanya kazi yoyote inayokufanya unatoa jasho basi hapo unachoma Calories. Kiasi cha energy iliyo mwilini inatakiwa kiondoke na kuondoka ni kufanya shuguli kama kazi za mikono au kutembea au kukimbia. ukitaka kujua kuwa una kiasi cha ziada unachotakiwa kukitoa mwilini kuna njia ya BMI yaani chukua urefu wako toa 100 kinachobakia basi ndio uzito sahii unaotakiwa kuwa nao ikiwa zaidi uzito umezidi

Mfano una urefu wa SM 180 hapo toa 100 unabakiwa na 80 huo ndio uzito sahihi unaotakiwa kuwa nao ikiwa zaidi hapo fanya zoezi... lima mzee...
Ni kweli ukitoa jasho unachoma calories/Stored fat/ au stored energy.
 
Ni kweli ukitoa jasho unachoma calories/Stored fat/ au stored energy.
Sasa unakuta wiki nzima mtu hata jasho hujatoa na unafukia misosi ya kufa mtu.. Yani kati ya vitu vigumu ni kupunguza uzito kadiri umri unavyozidi kwenda... anza sasa kulima...
 
Basi mwili wangu umepata faida mara dufu, maana naprint hadi so poa.

Posta to segerea ni kawaida kabisa.
Ni zoezi lenye faida kubwa kutembea au kukimbia inaepusha magonjwa ya kisukari , shinikizo la damu , kuongeza kinga mwilini .
Ukitembea maili 3 Mpaka 6 kila siku inatosha .
 
Ni zoezi lenye faida kubwa kutembea au kukimbia inaepusha magonjwa ya kisukari , shinikizo la damu , kuongeza kinga mwilini .
Ukitembea maili 3 Mpaka 6 kila siku inatosha .
Kweli mkuu, yani unakuta mtu anakula misosi ya nguvu, na yupo Ofcini asubuhi hadi jioni na akitoka kazini anaingia kwenye usafiri no mazoezi. Angalao kufanya mazoezi kidogo kwa siku hata kutembea au kuendesha baiskeli
 
Back
Top Bottom