Njia wanazozitumia vijana kukuibia mke/mchumba/mpenzi wako

Umenena vyema... ila hizo njia ni ndefu sana...

Binadamu wa siku hizi hutumia short cut hata hawahangiki na cherekochereko zote hizo...


Cc: mahondaw
 
Only Psychologists will understand this comment deeply.

Congrats brother.
 
" usije ukafumbia macho au ukapuuzia ukiona mpenzi wako au mchumba wako ana mu entertain sanaa mtu asiekua wa jinsia yake,"

Mwisho wa kunukuu

Cc Smart911
Ni kweli kabisa, OP sorry princess huo mzigo unaonekana kwenye avatar ni wako?
 
Nimeona umemtaja Angela kairuki tuko akilini mwako siku zote nini
 
Aisee..aahh acha wamle tu.ntafanyaje sasa!mapenz ni kama bahar wenyew wanasema.Ukilinda feri wenzako wanavua bagamoyo
 
Kwa hiyo unashauri tupekue simu za wake au mademu zetu?????
Huko ndo kujipa stress za bureeee tunajua haya mambo yapo mm mwnywe nagonga pemben sana tu ila cwez pekua cm yake
Muosha huoshwa pia
 
Hii in inanigusa sana, mchumba anamsifu Sana mzee flan wa mtaani kwetu, siku moja mzee huyo alikuwa anayembea na pens mtaani mchumba akasema jamaa anayembea na pensi kofia ya uume inaonekana, mmh nikasema huyu vipi kawahi usema hivyo.

Mchumba anamsema Kias kwamba naona anatamani mtalimbo wa mzee, halafu nikawaza huo mtalimbo mkubwa kuliko wangu ukoje huo, wakuu nilimfatilia yule kizee baa anayonywea na wanawake wake, nikamlia timing Dem wake achukue video ninayo, nasubiri tu kunuonyesha huyu sweetie wangu,

Hakuna la maana zaidi ya tabia zankupenda kuonja onja nyama buchani.

Wakuu siku ya Kama nne nikafanikiwa kumlainisha mwanamke na nikamuonyesha sura ya mzee, akshtuka, baadae nikamuonyesha full video ya ngono
 
Khhaaa mbona process ndefu Sana. Mimi hata nilikuwa sifanyi hivyo vyote na niliwagonga Sana.
 
Suala la kugongewa lilikuepo, lipo na litaendelea kuwepo.

Ulivyoeleza ni sawa lakn wake au wachumba za watu hugongwa kwa njia nyingi sana.

Mm mke Wa mtu akijaa nafyeka maana najua hata wangu atafyekwa tu hata nisipojua
 
Njia yote hii ni kujitafutia matatizo. We toa salamu, tabasamu, usichukue namba bali acha namba yako, ukitafutwa usilete story nyingi nyoosha maelezo, Panga mihadi, timiza lengo. Tafuta mwingine. So simple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…