Njia wanazozitumia vijana kukuibia mke/mchumba/mpenzi wako

Kabla sijaoa, nilikuwa nikiwaza, siku nikisalitiwa na mke, nitaua mtu, yaani kitendo tu cha kuwaza kwamba demu/mke wangu anagongwa nje, mapigo ya moyo yalikuwa yanapanda sana, wakubwa wangu kipindi hicho, wakaniambia subiri uoe harafu utajua,
Fast forward 8years later, leo hii hata nikikuta njemba inamshughurikia wife, tena ndani ya nyumba yangu, navuta kiti nakaa, napiga soda huku nawacheki, ninachoweza kufanya, nikumdhalilisha huyo njemba, sio kwa hasira, ilimradi, abaki na kumbukumbu mbaya tu
 
We jamaa umeandika ukweli mtupu nimewahi kuwa na mahusiano na wake za watu. Unamla kimya kimya kama hamjuani
 
na huyo ni msichana bado (kiakili). mwanamke mwenye ndoa yake, mwenye akili timamu na anajiheshimu na kumheshimu mumewe/mpenzi wake huwez ukambeba kwa style hizo hata kwa bahati mbaya....
ila kwa style zipi

Sent from my Iᴩʜᴏɴᴇ 11 Pro using JamiiForums.com mobile app
 
Tena wana
na huyo ni msichana bado (kiakili). mwanamke mwenye ndoa yake, mwenye akili timamu na anajiheshimu na kumheshimu mumewe/mpenzi wake huwez ukambeba kwa style hizo hata kwa bahati mbaya....
Hao ndo wanachukuliwa kizemve mnoo niamini ninachokuambia,
 
na vipaka vya siku hizi ukibandika mboga nyama vinajifanya vinataka kuota moto 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…