Njia ya haraka sana ya kufa ukiwa mdogo ni kuendelea kufanya mambo haya

Sababu ya mwisho kabisa.
11. Kufuatilia maisha ya wenzio
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Ata kuishabikia makolo pia kijana utakufa haraka😁
 
daah !, Mimi mwenyewe ni hilo tu. Si kukaa ndani tu nitaanza kukaa nje sasa
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Hio namba tatu, he kama huna kwa kwenda baada ya mambo yako ufanyeje? Uanze dhurula tu mtaani?na huko mtasema mtapigwa na pikipiki.

Haya mambo Haya, ndio yale yale usipokunywa maji mengi kosa,wanakuja wengine usinywe maji mengi.
Mnatuchanganya bwana.
 
Una Balance Tu, Mkuu isizidi Upande Mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…