Njia ya kuongeza kipato: Kilimo cha pilipili kichaa kinavyoweza kumfaidisha kijana wa Kitanzania

Jamani mi ndo nimeanza nimelima kama heka moja hivi by July ndio matarajio ya kuanza kuvuna nitawapa mrejesho juu ya hili
 
Jamani mi ndo nimeanza nimelima kama heka moja hivi by July ndio matarajio ya kuanza kuvuna nitawapa mrejesho juu ya hili

Inakuwa ni miezi 3 kwani ndio unavuna mkuu...?

Kwenye Uzi wa mleta mada mbona nimeona kila mwezi unaweza ukavuna mkuu...?

CHASHA FARMING tunaomba utie meno hapa kiongozi naona mwenye nyumba katuachia nyumba wapangaji bila ya funguo wakati watu wanahitaji kuingia ndani mkuu...!

NAWASILISHA.
 
Ndo nimeanza mwezi wa pili nilipanda na saizi zimeanza maua matarajio june-july ndo ntaanza kuvuna
 
Idea nzuri sana Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…