Njia ya kupata moyo wa mwanaume ni kupitia tumbo lake

umenitamanisha nitangaze ndoa jiko utapata mama
 
Huwezi pata vyote, anaejua kupika na akajua kukupakua kitandani lbd usubiri nikuzalie,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Weeee mwanamke anayejua KUPIKA siku zote nakitandani yupo vzurii mnoooooo yaaaan nmzuri mnooo alafu wanakuaga wasafi baby ,,,

Mimi mwenyewe nakufurahia sana huduma yakooo Basi tuuu huwa najifanya kutosema lkn moyon nazidi kukuombea uzima waafya ili uendelee kunipa tamu isokwisha hamuuuuu
 
Sasa ni hivi, miss bonge kasema ye ni mpishi mzuri sana na kwa maelezo yake yanasadifu hayo, mimi ni mpishi wa 6*6, tuchukue wote basi tukupe maraha beib si unajua kizuri kula na nduguyo han
 
Sawia kabisa.

Michepuko haitakwisha wakiendekeza kutokujua kwao kupika.
 
ahahaa kapeace na
 
Sasa ni hivi, miss bonge kasema ye ni mpishi mzuri sana na kwa maelezo yake yanasadifu hayo, mimi ni mpishi wa 6*6, tuchukue wote basi tukupe maraha beib si unajua kizuri kula na nduguyo han
ahahaaa kwaiyo mimi nikiwa jikoni nyie mpo kitandani sio.mkitoka tunajoin kwa meza
 
Sasa ni hivi, miss bonge kasema ye ni mpishi mzuri sana na kwa maelezo yake yanasadifu hayo, mimi ni mpishi wa 6*6, tuchukue wote basi tukupe maraha beib si unajua kizuri kula na nduguyo han
Hahahahahaha Baby Basi sawa haina shidaaa nawaalika wote switiiiiiiizzzzzz
 
Hahahahah kibongeeee wanguuu Mimi sijaoaa badoooooo ..ndo maana nmekukaribishaaaa[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]....

Kapeace Wangu ndo mchumba ila naye alishaniambia nichepuke tuuuuu[emoji24] [emoji120]
Wala sinaga shida mie, be free tena mtu mwenyewe miss bobge ahahaha hiyo nyumba itakuwa na amani mno na tutakupendezesha mno beby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…