Njia ya kuwa na mahusiano na mwanamke kwa urahisi

Njia ya kuwa na mahusiano na mwanamke kwa urahisi

Silivian

Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
64
Reaction score
103
Hiki ni kitendo rahisi sana cha kunasa hisia za mwanamke yeyote yule na kuchukua moyo wake pasipo yeye kujua.

"Mpigie simu mara kwa mara kama sehemu ya kumjulia hali tu uone kama hatajaa mwenyewe."

Hii mara nyingi huwa inafanya kazi kama mwanamke atakuwa single au yupo kwenye mahusiano yaliyotelekezwa au kususisiwa na mwanaume aliyenaye.

Unapojaribu kumpigia simu jaribu kuwa "Gentleman" kwa kuongea "Maneno" fulani hivi ya kuonyesha unajali.

Sio tu kwa wanawake, mtu yeyote anayejaliwa kwa kupigiwa simu au kutumiwa ujumbe mfupi huwa anajihisi kuthaminiwa.

Hisia za kuthaminiwa zitamfanya mwanamke aanze kukuingiza moyoni pale unapomkumbuka kwa kumpigia simu mara kwa mara pale inapobidi.

Mahusiano hujengwa kwa mawasiliano ,na mahusiano huvunjwa pia kwa mawasiliano.

Kumbuka kuwa, "anayejali huwa anakujulia hali. asiyejali huwa hana habari."

Nimekupa mfano hapo juu hata kwa rafiki yako wa jinsia yako anapokujulia hali huwa kuna ka hisia fulani hivi unakapata.

Basi hako hako ka hisia huwa atakapata mwanamke utakayeanza kumjali kwa kumpigia simu au kumtumia ujumbe mfupi wa maneno.

Wasichana wengi wamejikuta wakiingia "Hubani" kwa kuendelea kuchati au kuongea na wanaume ambao mwanzoni waliwakatalia, lakini kupitia kupigiwa simu za kujuliwa hali walijikuta wakihisi wanapendwa na kujikuta wakikabidhi mioyo yao bila choyo.

Hili zoezi ni kweli linafanya kazi kwa 90%, na ndio mzizi namba moja wa kuziteka hisia za mtu yeyote yule.

Kumpigia simu mwanamke na kumwambia maneno "Mazuri" na "Matamu" itafanya ubongo wake ufungulie kemikali ziitwazo "Dopamine" zinazotengeneza hisia za furaha.

Baada ya hapo mwanamke atakuwa anapenda kupigiwa simu au kutumiwa sms na wewe ili tu aipate hiyo furaha kwa sababu atakuwa tayari kakuzoea wewe kama mtu pekee unayempatia furaha inayoleta amani ya moyo wake.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi wanasema hawataki maneno matupu
Nafkiri inabidi tuwaache wajielezee wao undani wao kuliko sisi kuwasemea kitu tunachokiona kwa weledi wetu.
Kufanyia utafiti kitu si sawa na kuyaishi unayoyatafiti ( Kutokea nje kwenda ndani).
 
Hiki Ni Kitendo Rahisi Sana Cha Kunasa Hisia Za Mwanamke Yeyote Yule Na Kuchukua Moyo Wake Pasipo Yeye Kujua.

"Mpigie Simu Mara Kwa Mara Kama Sehemu Ya Kumjulia Hali Tu Uone Kama Hatajaa Mwenyewe"

Hii mara nyingi huwa inafanya KAZI kama MWANAMKE atakuwa SINGLE au YUPO KWENYE mahusiano YALIYOTELEKEZWA au KUSUSISIWA na MWANAUME aliyenaye.

Unapojaribu kumpigia SIMU jaribu kuwa "GENTLEMAN" kwa kuongea "MANENO" fulani hivi ya kuonyesha unajali.

Sio tu kwa WANAWAKE. Mtu yeyote anayejaliwa kwa kupigiwa SIMU au kutumiwa UJUMBE mfupi huwa anajihisi kuthaminiwa.

Hisia za kuthaminiwa zitamfanya MWANAMKE aanze kukuingiza MOYONI pale unapomkumbuka kwa kumpigia SIMU mara kwa mara pale inapobidi.

MAHUSIANO hujengwa kwa MAWASILIANO. Na MAHUSIANO huvunjwa pia kwa MAWASILIANO.

KUMBUKA KUWA, "anayejali huwa anakujulia hali. Asiyejali huwa hana habari."

Nimekupa MFANO hapo juu hata kwa RAFIKI yako wa jinsia yako anapokujulia hali huwa kuna ka hisia fulani hivi unakapata..

...basi hako hako ka hisia huwa atakapata MWANAMKE utakayeanza kumjali kwa KUMPIGIA SIMU au kumtumia UJUMBE mfupi wa MANENO.

WASICHANA wengi wamejikuta wakiingia "HUBANI" kwa kuendelea KUCHATI au KUONGEA na WANAUME ambao mwanzoni waliwakatalia, LAKINI kupitia kupigiwa simu za kujuliwa hali walijikuta WAKIHISI wanapendwa na kujikuta wakikabidhi MIOYO yao bila CHOYO.

Hili zoezi ni KWELI linafanya KAZI kwa 90%, na ndio MZIZI namba MOJA wa kuziteka hisia za MTU yeyote yule.

Kumpigia SIMU mwanamke na KUMWAMBIA maneno "MAZURI" na "MATAMU" itafanya UBONGO wake ufungulie kemikali ziitwazo "DOPAMINE" zinazotengeneza HISIA za FURAHA.

Baada ya hapo MWANAMKE atakuwa anapenda kupigiwa SIMU au kutumiwa SMS na WEWE ili tu haipate hiyo FURAHA kwa SABABU atakuwa TAYARI kakuzoea WEWE kama MTU pekee unayempatia FURAHA inayoleta AMANI ya MOYO wake.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Bila kutuma na pesa hamna kitu hapo
 
Hii makala Iko vizuri kabisa na yote ni kweli tupu wanawake wenzangu hasa sisi Single Mama. Binafsi nakupongeza sana mwandishi umesema kweli tupu. Mfano Mimi ni single mama naendesha maisha yangu ña kusomesha watoto wangu bila shida, ninak nzuri inayoniingizia kipato lkn Kinidhoofisha ni upweke tu. Nanyi wanaume mkishajua udhaifu wetu japo nanyi pia wakati mwingine inatokea. Basi tusidanganyane wapendwa!!!. Tatizo wanawake tupo wengi wanaume mpo wachache. Tusaidiane tuishi maisha marefu.🙏
 
Bila pesa siku hizi utapendwa na moyo wako hata mama yako atakuona kama laana kwake tafuta pesa kijana mapenzi ya sasa sio yale ya zamani

Yote ambayo usema hapo hakuna ambacho sijajaribu
 
Hii makala Iko vizuri kabisa na yote ni kweli tupu wanawake wenzangu hasa sisi Single Mama. Binafsi nakupongeza sana mwandishi umesema kweli tupu. Mfano Mimi ni single mama naendesha maisha yangu ña kusomesha watoto wangu bila shida, ninak nzuri inayoniingizia kipato lkn Kinidhoofisha ni upweke tu. Nanyi wanaume mkishajua udhaifu wetu japo nanyi pia wakati mwingine inatokea. Basi tusidanganyane wapendwa!!!. Tatizo wanawake tupo wengi wanaume mpo wachache. Tusaidiane tuishi maisha marefu.🙏
Kama upo mpweke nicheki PM na Mimi mpweke
 
Hii makala Iko vizuri kabisa na yote ni kweli tupu wanawake wenzangu hasa sisi Single Mama. Binafsi nakupongeza sana mwandishi umesema kweli tupu. Mfano Mimi ni single mama naendesha maisha yangu ña kusomesha watoto wangu bila shida, ninak nzuri inayoniingizia kipato lkn Kinidhoofisha ni upweke tu. Nanyi wanaume mkishajua udhaifu wetu japo nanyi pia wakati mwingine inatokea. Basi tusidanganyane wapendwa!!!. Tatizo wanawake tupo wengi wanaume mpo wachache. Tusaidiane tuishi maisha marefu.🙏
Mmmh una k(kei) nzuri....au nimeelewa vibaya
 
Hiki Ni Kitendo Rahisi Sana Cha Kunasa Hisia Za Mwanamke Yeyote Yule Na Kuchukua Moyo Wake Pasipo Yeye Kujua.

"Mpigie Simu Mara Kwa Mara Kama Sehemu Ya Kumjulia Hali Tu Uone Kama Hatajaa Mwenyewe"

Hii mara nyingi huwa inafanya KAZI kama MWANAMKE atakuwa SINGLE au YUPO KWENYE mahusiano YALIYOTELEKEZWA au KUSUSISIWA na MWANAUME aliyenaye.

Unapojaribu kumpigia SIMU jaribu kuwa "GENTLEMAN" kwa kuongea "MANENO" fulani hivi ya kuonyesha unajali.

Sio tu kwa WANAWAKE. Mtu yeyote anayejaliwa kwa kupigiwa SIMU au kutumiwa UJUMBE mfupi huwa anajihisi kuthaminiwa.

Hisia za kuthaminiwa zitamfanya MWANAMKE aanze kukuingiza MOYONI pale unapomkumbuka kwa kumpigia SIMU mara kwa mara pale inapobidi.

MAHUSIANO hujengwa kwa MAWASILIANO. Na MAHUSIANO huvunjwa pia kwa MAWASILIANO.

KUMBUKA KUWA, "anayejali huwa anakujulia hali. Asiyejali huwa hana habari."

Nimekupa MFANO hapo juu hata kwa RAFIKI yako wa jinsia yako anapokujulia hali huwa kuna ka hisia fulani hivi unakapata..

...basi hako hako ka hisia huwa atakapata MWANAMKE utakayeanza kumjali kwa KUMPIGIA SIMU au kumtumia UJUMBE mfupi wa MANENO.

WASICHANA wengi wamejikuta wakiingia "HUBANI" kwa kuendelea KUCHATI au KUONGEA na WANAUME ambao mwanzoni waliwakatalia, LAKINI kupitia kupigiwa simu za kujuliwa hali walijikuta WAKIHISI wanapendwa na kujikuta wakikabidhi MIOYO yao bila CHOYO.

Hili zoezi ni KWELI linafanya KAZI kwa 90%, na ndio MZIZI namba MOJA wa kuziteka hisia za MTU yeyote yule.

Kumpigia SIMU mwanamke na KUMWAMBIA maneno "MAZURI" na "MATAMU" itafanya UBONGO wake ufungulie kemikali ziitwazo "DOPAMINE" zinazotengeneza HISIA za FURAHA.

Baada ya hapo MWANAMKE atakuwa anapenda kupigiwa SIMU au kutumiwa SMS na WEWE ili tu haipate hiyo FURAHA kwa SABABU atakuwa TAYARI kakuzoea WEWE kama MTU pekee unayempatia FURAHA inayoleta AMANI ya MOYO wake.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Umesahau pesa iwepo........hawa ni aidha wakuwahi mapema utoe senti au akuonjeshe kidogo halafu ndo aanze kudai chenji
 
Sorry it is just a typing error, nilikuwa namaanisha Niko na kazi nzuri .......Samahani kama umeninukuu kwa maana nyingine. Ni kosa tu katika uandishi. Natumai umenielewa katika mtazamo chanya. Asante🙏
Huna haja ya kuomba msamaha......meseji imependeza tu
 
Hii makala Iko vizuri kabisa na yote ni kweli tupu wanawake wenzangu hasa sisi Single Mama. Binafsi nakupongeza sana mwandishi umesema kweli tupu. Mfano Mimi ni single mama naendesha maisha yangu ña kusomesha watoto wangu bila shida, ninak nzuri inayoniingizia kipato lkn Kinidhoofisha ni upweke tu. Nanyi wanaume mkishajua udhaifu wetu japo nanyi pia wakati mwingine inatokea. Basi tusidanganyane wapendwa!!!. Tatizo wanawake tupo wengi wanaume mpo wachache. Tusaidiane tuishi maisha marefu.
Naomba ruhusa niwe nakujulia khali pm..
 
Hakuna msg tamu duniani kama ile ya "IMETHIBITISHWA......."
 
Back
Top Bottom