Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Hii niliambiwa na mama mkwe mdogo (nahisi imeka kiuchawiuchawi hivi). Eti unachukua sufuria iliyochakaa, then unachukua pichu yako na na mwanaume wako ziwe safi, then unaziweka ndani ya hiyo sufuria chakavu afu unafunika chini ya kitanda mnacholalia na kwamba hamtopata mimba mpaka mkiamua na mkiamua mnataka sasa mimba iingie unaifunia ile sufuria na unazichoma zile pichu then eti mnapata mimba. :A S-devil4::A S-devil4:
 
Hii niliambiwa na mama mkwe mdogo (nahisi imeka kiuchawiuchawi hivi). Eti unachukua sufuria iliyochakaa, then unachukua pichu yako na na mwanaume wako ziwe safi, then unaziweka ndani ya hiyo sufuria chakavu afu unafunika chini ya kitanda mnacholalia na kwamba hamtopata mimba mpaka mkiamua na mkiamua mnataka sasa mimba iingie unaifunia ile sufuria na unazichoma zile pichu then eti mnapata mimba. :A S-devil4::A S-devil4:

Hii kali.
 
Hii niliambiwa na mama mkwe mdogo (nahisi imeka kiuchawiuchawi hivi). Eti unachukua sufuria iliyochakaa, then unachukua pichu yako na na mwanaume wako ziwe safi, then unaziweka ndani ya hiyo sufuria chakavu afu unafunika chini ya kitanda mnacholalia na kwamba hamtopata mimba mpaka mkiamua na mkiamua mnataka sasa mimba iingie unaifunia ile sufuria na unazichoma zile pichu then eti mnapata mimba. :A S-devil4::A S-devil4:

Duuuuuuh....hii Kali kuliko zooote
 
Ila pia IPO ya kunywa flagly ukitoka kudoo ukihisi mimba..il a nayo cjawahi kuifuatilia..kaa na watu ujue ya watu tatiana

Hii nliwahi kuisikia, mashosti walisema eti inasaidia.
 
Ukifuata njia ya kalenda, mwanaume yaitajika uwe na uvumilivu hasa ktk siku zile za hatari. Ila kama utatingwa sana ktk siku hizo za hatari ni bora ukamwaga nje. Ila kinachopaswa wanaume tujitahidi kuwa wavumilivu ilikifuata njia ya kalenda, tujenge mazoea ya kumaliza mwezi bila kushiriki tendo ili mwili upate kuzoea.
 
Tiririka vema ili tutafiti kwa faida ya jamii nzima
mmnyonyo ni mmea fulani unaota porini,ni dawa nzuri sana ya kuzuia mimba, ukimeza mbegu moja unakaa mwaka mzima bila mimba,mbili miaka miwili ila ukimeza saba huzai tena
ila pata ushauri wa wataalamu wa tiba mbadala,aliniambia daktari wa hospitali moja ipo pale nyuma ya ubungo plaza inaitwa antipas
 
Back
Top Bottom