Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Nimeoa wake wengi wasiofanana siku za hatari...hii ndio njia ya asili ninayotumia niliyofunzwa na babu
Khaaaa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeoa wake wengi wasiofanana siku za hatari...hii ndio njia ya asili ninayotumia niliyofunzwa na babu
Ndio maana yake. Njoo ujaribu uone kama hutachizika usahau hata ulipotoka
Kumbe hamtaki watoto!!
Kunywa maji baridi kila baada ya mchezo,mimba utaisikia na kuiona kwa jirani
wapi majani ya chani na blue ya kuweka kwenye nguo nyeupe..nliwahi sikia hii pia inazuia mimba nkiwa o level...hahaa but Neva try it..
kizazi ktaota kutu
Inabid umtafute au umuulize dada ako ....kuna umuhimu wa kujua njia asilia walizotumia mama na bbi zetu kupanga uzazi kwa maana nawaza sana pindi ntakapoolewa itakuweje
Za hospital sio nzuri wanawake weng wanalalamika
Kuna mmea Flani unaitwa mnyonyo Mara nyingi majani yake yanatumika kujikandia/ kuchua kama umeumia sasa basi mbegu zake ni kinga ya mimba ila kuna namna ya kuzimeza
Hawataki watoto hawaa
Hawataki watoto hawaa
Hakuna dawa nzuri zaidi ya kalenda. Mm mke wangu anatumia kalenda kwa sasa ni mwaka 4 toka ajifungue.
Umewaona eeh.. Ngoja sie tuendelee kuleta new product mpaka bank za viuno ziishe..
Hahahahaaaa
Kuna vidonge vinaitwa morning after pill, ukihisi tu umepata mimba unavimeza.Vinatakiwa vimezwe within Massa 72 tangu mlipo sex.
Hii sasa ni abortion
Mtaua vizazi bure, baadae ziwe ni safari za kwa waganga kila kukicha...
achomoe