Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah,madude makubwa mi sifagiliii alaf....
Btw hivi naniii hapendi hyo makitu???
Washangaa nn?
Tunapokula chakula kikawaida kuna namna ambayo kinabadilishwa na kusambazwa mwilini kwa njia ya damu!
Damu ya mwanadamu, kwa wastani ina pH ya 7.4. Ili mwili wa mwanadamu ufanye kazi sawasawa, unahitaji pH kati ya 6.8 - 7.8. Zaidi ya hapo mifumo mingine haitofanya kazi sawasawa!
Majivu (ya mkaa au kuni) yana madini ya "magnesium, calcium, na potassium". Ifahamike kwamba "calcium" inatabia ya kuongeza pH. Kwahiyo utakapokunywa maji/kimiminika chenye "calcium" ni dhahiri kwamba pH ya mwili itaongezeka na yamkini inaweza kusababisha mimba isishike!
Barasu thanks for this veery useful postTunapokula chakula kikawaida kuna namna ambayo kinabadilishwa na kusambazwa mwilini kwa njia ya damu!
Damu ya mwanadamu, kwa wastani ina pH ya 7.4. Ili mwili wa mwanadamu ufanye kazi sawasawa, unahitaji pH kati ya 6.8 - 7.8. Zaidi ya hapo mifumo mingine haitofanya kazi sawasawa!
Majivu (ya mkaa au kuni) yana madini ya "magnesium, calcium, na potassium". Ifahamike kwamba "calcium" inatabia ya kuongeza pH. Kwahiyo utakapokunywa maji/kimiminika chenye "calcium" ni dhahiri kwamba pH ya mwili itaongezeka na yamkini inaweza kusababisha mimba isishike!
Hongeraa! Sasa mamaa unatafuta dawa ya nini tena wakati unaonekana mzoefu?
haikuwa siku ya hatari, wasi wasi wenu tu ulikuwa.
ila sasa ukweli wewe ukinywa hayo majivu ndo inakata nguvu kabisa, unaongeza muda hata masaa mawili na utamu kolea hadi kisogoni. kunywa afu unipe feedback
haikuwa siku ya hatari, wasi wasi wenu tu ulikuwa.
ila sasa ukweli wewe ukinywa hayo majivu ndo inakata nguvu kabisa, unaongeza muda hata masaa mawili na utamu kolea hadi kisogoni. kunywa afu unipe feedback
Mmmmh....nishamtupia au nawe wataka?
Utamu unaongezeka Kama vile utumiapo kitunguu swaumu na asali!!! Aaaachiiii....
Utamu unaongezeka Kama vile utumiapo kitunguu swaumu na asali!!! Aaaachiiii....
Za nini mie. Hayo mambo anajua wife labda nimuite umpe darasa.
Hapa kwenye kitunguu swaumu na asali pamenigusa.. Nipe darasa sasa
Navyo unatumiaje?
Binamu umeamka salama.
Naona sasa waalimu wamekuja tunapata majibu ya maswal yenye ufafanuzi