Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Tunapokula chakula kikawaida kuna namna ambayo kinabadilishwa na kusambazwa mwilini kwa njia ya damu!

Damu ya mwanadamu, kwa wastani ina pH ya 7.4. Ili mwili wa mwanadamu ufanye kazi sawasawa, unahitaji pH kati ya 6.8 - 7.8. Zaidi ya hapo mifumo mingine haitofanya kazi sawasawa!

Majivu (ya mkaa au kuni) yana madini ya "magnesium, calcium, na potassium". Ifahamike kwamba "calcium" inatabia ya kuongeza pH. Kwahiyo utakapokunywa maji/kimiminika chenye "calcium" ni dhahiri kwamba pH ya mwili itaongezeka na yamkini inaweza kusababisha mimba isishike!

Kisayansi zaidi , nimependa sana ulivyo fanya mrejeo wa uhalisia. Shukrani sana
 
Tunapokula chakula kikawaida kuna namna ambayo kinabadilishwa na kusambazwa mwilini kwa njia ya damu!

Damu ya mwanadamu, kwa wastani ina pH ya 7.4. Ili mwili wa mwanadamu ufanye kazi sawasawa, unahitaji pH kati ya 6.8 - 7.8. Zaidi ya hapo mifumo mingine haitofanya kazi sawasawa!

Majivu (ya mkaa au kuni) yana madini ya "magnesium, calcium, na potassium". Ifahamike kwamba "calcium" inatabia ya kuongeza pH. Kwahiyo utakapokunywa maji/kimiminika chenye "calcium" ni dhahiri kwamba pH ya mwili itaongezeka na yamkini inaweza kusababisha mimba isishike!
Barasu thanks for this veery useful post
 
Last edited by a moderator:
haikuwa siku ya hatari, wasi wasi wenu tu ulikuwa.
ila sasa ukweli wewe ukinywa hayo majivu ndo inakata nguvu kabisa, unaongeza muda hata masaa mawili na utamu kolea hadi kisogoni. kunywa afu unipe feedback

Mimi km mhandisi nitajaribu na nitarudisha mrejesho hapa. Maelezo zaidi please, precautions and a well dosage...
japo sijawah pata malalamiko sekta iyo, ila nitajaribu.
 
haikuwa siku ya hatari, wasi wasi wenu tu ulikuwa.
ila sasa ukweli wewe ukinywa hayo majivu ndo inakata nguvu kabisa, unaongeza muda hata masaa mawili na utamu kolea hadi kisogoni. kunywa afu unipe feedback

Utamu unaongezeka Kama vile utumiapo kitunguu swaumu na asali!!! Aaaachiiii....
 
Navyo unatumiaje?

Unamenya kitunguu saumu unakata pieces ndogondogo unachanganya na kijiko cha asali unameza daily.... but inafanya jasho linakuwa na harufu Kali Sana.
 
Back
Top Bottom