Hii niliambiwa na mama mkwe mdogo (nahisi imeka kiuchawiuchawi hivi). Eti unachukua sufuria iliyochakaa, then unachukua pichu yako na na mwanaume wako ziwe safi, then unaziweka ndani ya hiyo sufuria chakavu afu unafunika chini ya kitanda mnacholalia na kwamba hamtopata mimba mpaka mkiamua na mkiamua mnataka sasa mimba iingie unaifunia ile sufuria na unazichoma zile pichu then eti mnapata mimba. :A S-devil4::A S-devil4:
Et ule mchnganyiko akimeza mwanaume inakuaje?
Mungu wa ajabu.....na mpango wake lazima utimie.King'ang'ani basi kimeng'ang'ana hata utumie nn!!!
K-Y jerry ndo mpa go
Hii niliambiwa na mama mkwe mdogo (nahisi imeka kiuchawiuchawi hivi). Eti unachukua sufuria iliyochakaa, then unachukua pichu yako na na mwanaume wako ziwe safi, then unaziweka ndani ya hiyo sufuria chakavu afu unafunika chini ya kitanda mnacholalia na kwamba hamtopata mimba mpaka mkiamua na mkiamua mnataka sasa mimba iingie unaifunia ile sufuria na unazichoma zile pichu then eti mnapata mimba. :A S-devil4::A S-devil4:
kuchomoa nako kunahitaji iwe unakula kila siku sio kula kwa ratiba....
Ha ha ha, kwa chipsi yai haiwezekani?
Dushe bila ndomu je!! Utatamani ikatikie ibaki humohumo
Ila pia IPO ya kunywa flagly ukitoka kudoo ukihisi mimba..il a nayo cjawahi kuifuatilia..kaa na watu ujue ya watu tatiana
kwa hiyo wale zinaogandiana wanainjoi sana?
Hii nliwahi kuisikia, mashosti walisema eti inasaidia.
Ndo HVO shogaa..Hii nliwahi kuisikia, mashosti walisema eti inasaidia.
K-Y jerry ndo mpa go
K-Y jerry ndo mpa go
Ky inazuiaje mimba?
mmnyonyo ni mmea fulani unaota porini,ni dawa nzuri sana ya kuzuia mimba, ukimeza mbegu moja unakaa mwaka mzima bila mimba,mbili miaka miwili ila ukimeza saba huzai tenaTiririka vema ili tutafiti kwa faida ya jamii nzima