duh! wengine wanatafuta njia za kuchomoa wasipate mimba wengine huku kutwa kucha tunasaka na bado hatujafanikiwa kupata mimba mweh! maisha haya ni full ishuz....kila la kheri wandg...tuombeane jamani
duh! wengine wanatafuta njia za kuchomoa wasipate mimba wengine huku kutwa kucha tunasaka na bado hatujafanikiwa kupata mimba mweh! maisha haya ni full ishuz....kila la kheri wandg...tuombeane jamani
Ukifuata njia ya kalenda, mwanaume yaitajika uwe na uvumilivu hasa ktk siku zile za hatari. Ila kama utatingwa sana ktk siku hizo za hatari ni bora ukamwaga nje. Ila kinachopaswa wanaume tujitahidi kuwa wavumilivu ilikifuata njia ya kalenda, tujenge mazoea ya kumaliza mwezi bila kushiriki tendo ili mwili upate kuzoea.
Inakuboost balaaa....meza tu ila angalizo aweze kukusupply usije ukachepuka
Dushe bila ndomu je!! Utatamani ikatikie ibaki humohumo
Kuna vidonge vinaitwa morning after pill, ukihisi tu umepata mimba unavimeza.
Sio abortion ndo maana vikaitwa morning after, Mara nyingi watu wanasex usiku so asubuhi unameza ivo vidonge.Ndani ya Massa 72 unaabort nin?
Ukihisi tu umeshika mimba unavimeza. Abortion maana yake nini kumbe...?
..
..Watu mnahangaikaaaa...tigo ndio njia sahihi na salama kiafya kuzuia mimba...ukipata mimba kupitia tigo...ni pm..10million natoa...!!!
Kwa wale ambao kabla hajaingia mzima mzima anakuwa keshamaliza! Atachomoaje sasa?
Halafu wewe kuna bomu unataka linilipue me na wife wangu.
Si umesema papuch inakua na joto sasa na me nikimeza si dushe nayo joto litapanda??
Joto+Joto+friction=?????
we mdada yaonekana unakuwaga na kiu ya "*"&?,?!q sana!
ukilamba sukari na maji barid au coca cola baridi hupati
Hii ya coca cola baridi nimewahi kuisikia.
Hii sio nzuriii
Kwa nn?
Ha ha ha, kwa chipsi yai haiwezekani?