Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika saaana kwa vile sijawahi ijaribu ila wengi huwa wanasema ni njia nzuri!
YOU gonna kill some innocent pippo !!! mada yako inahatarisha maisha na afya za wanaadamu "ukiua mmoja kamaa uliyeua umati" (majivu huwa yana mchanganyiko wa sumu kutokana na mchanganyiko wa miti na mizizi) Tuchukuwe taadhari Sweetheart naja huania mbaya weewataka rahisisha LAKINI mmmh!!
mmmh ngoja watu wajiachie halafu mambo yaharibike
Mmmmmmmmmmh
Endelea...endeleza Sweety!! Wajinga waje,watafuata.....Wewe unasema miti inasumu je na dawa na sindano za hospital je??
Asante cn mumy ila sijafaham unatumia kila cku kwa sababu mi natumia vijit lkn naona madhara Makubwa na sijapata mbadala wa kinga
Endelea...endeleza Sweety!! Wajinga waje,watafuata.....
Asante lakuni unajua majivu yanaleta.vidonda vya tumbo?