Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Sweetheart, topic nzuri ila ungetoa tahadhari kwamba hii ni kwa wale tu ambao wako licensed. Isije dada zetu wakazuia mimba wakapata magonjwa ya zinaa ya kuambukiza. Kwa sababu kuna watu wanaogopa mimba kuliko ukimwi.

Hahahaaaa lol ila nalo neno ila ayo ya kuzuia zinaa nawaachia wao
 
Last edited by a moderator:
Vijiti???
Bora hata ukatafute mbegu za minyonyo kule kijijini. Hiyo kitu ikibuma ndugu yangu utasikiliziia mziki wake

Mbegu za nyonyo ndo zinatumiwaje na zinapatikana kwa wingi wapi maana haya madawa ya hospital ni janga kwa wanawake wengi.
 
Sweetheart hujanijibu hayo majivu lazima unywe kila siku ht km huja sex au unaweza kunywa tu pindi unapotaka kusex
 
sawa madam,sasa vp akihtaj mtoto anaacha kutumia au kwa muda gani? na vzur zaid baada au kabla ya tendo? maana nahc kama ukfanya baada tayar fertilization itakuwa imeshatokea so ukawa umechelewa au? dadafua plz

Ukiitaji mtoto una sitisha matumizi ya majivu.....na pia ukisha fanya tu then ukanywa but iwe ndani ya masaa sita wala huwezi kupata hata ukiwa kwenye siku za hatariii
 
Sweetheart hujanijibu hayo majivu lazima unywe kila siku ht km huja sex au unaweza kunywa tu pindi unapotaka kusex

Mkuu unatumia unavotaka kusex tu siku ambayo hausex wala hutumii
 
Majivu unayokunywa yanaingia katika mfumo wa chakula na sio wa uzazi, how comes majivu yazuie mimba??...
 
Majivu unayokunywa yanaingia katika mfumo wa chakula na sio wa uzazi, how comes majivu yazuie mimba??...

Nilifikiri inanitatiza mimi tu niliekimbia umande, nasikia yanaongeza acidity hivyo kuathiri uwezo wa mbegu kusababisha mimba. Acha tusubiri wataalam watakuja kutusaidia kwa maelezo mujarab!
 
Majivu unayokunywa yanaingia katika mfumo wa chakula na sio wa uzazi, how comes majivu yazuie mimba??...

Aaaah mkuu kwani sindano na vijiti vinaingia kwenye mfumo wa uzazi moja kwa moja? naona kwako italeta sense zaidi kama majivu yatasokomezwa huko kwa K eeh!!
 
Habari zenu wana mmu....

Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....

Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...

Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......

Cc Bulldog

Sorry!! Majivu ya mti wowote au?
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa mdogo niliona wamama wakinywa maji walochnganya na mjivu ila sikujua why, baada ya kusoma hii kitu ndo napata mjibu, but MBNA huyu mama mpka Leo wanashindana na mwanae kuzaa.
 
Back
Top Bottom