Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Haviwekwi kwa papuchi mkuu inawekwa mkononi kwa juu karibia na alama ya sindano ya ndui viko ka plastic unafanyiwa operation ndogo ka unataka three years wanaweka vitatu one year madhara yake ni hatari, kuumwa kichwa, mimba kutungwa hafu na kuharibika kizungu zungu, Kansa, pia vinatabia ya kuzidi kuingia ndani kwa kupitia mshipa hadi karibia na moyo ni hatari Sana mkuu.

Mhhhhhhh
 
Mnatishana mno hadi nmeshangaa!!haswa hapo kuwa kijiti kinazama zaidi na kusogea karibu ya moyo...tehh!!

Sio kutishana imetokea kwa watu wengi nimeshuhudia adha waliyo Pata kwenda kutolewa hivo vijiti bora kujua side effects zake tu kiundani.
 
sio kutishana imetokea kwa watu wengi nimeshuhudia adha waliyo pata kwenda kutolewa hivo vijiti bora kujua side effects zake tu kiundani.
hakuna side effect hio ndio kikikosea kuwekwa kinaweza kupotea lkn hakiendi kwenye moyo!!!
 
hata unywe supu ya panya mungu akipanga lake litakua tu mnajihangaisha tu na watoto ni neema kubwa kuna wengine wamezuiwa kuzaa na wanatamani so walioruhusiwa kuzaa wataulizwa kwanini nilikupa uwezo wa kuzaa hlf ukaniona mm mjinga ww ndo mwerevu?oh maisha magumu naogopea mtoto nishindwe kumlea ataulizwa kwani wewe ndie mtoaji riziki?kimyaa!!
 
na hayo majivu anaweka kiasi gani au vijiko vidogo/vikubwa vingapi kwenye glasi ya maji. au unaweka tani yako
 
Mmm bora kama vp nizae tuu, majivu apana, kuna mimba nyengine visirani hazisikii dawa wala sindano, naikishaingia kutoka kazi utaruka Kamba panda ngazi 100 inakutizama tuu, hiyo mimba inaitwa utaniza Unataka usitake ....
umenikumbusha mbali wewe
 
REGULAR SEASON
# Team P
1 Young Africans 46
2 Azam 39
3 Simba 35
4 Kagera Sugar 31
5 JKT Mgambo 28
6 Mtibwa Sugar 27
7 Stand United 27
8 Coastal Union 27
9 Ruvu Shooting 26
10 Mbeya City 25
11 Ndanda 25
12 Ruvu Stars 24
13 Tanzania Prisons 21
14 Polisi Morogoro 21
 
REGULAR SEASON
# Team P
1 Young Africans 46
2 Azam 39
3 Simba 35
4 Kagera Sugar 31
5 JKT Mgambo 28
6 Mtibwa Sugar 27
7 Stand United 27
8 Coastal Union 27
9 Ruvu Shooting 26
10 Mbeya City 25
11 Ndanda 25
12 Ruvu Stars 24
13 Tanzania Prisons 21
14 Polisi Morogoro 21

id yako haiendani na mambo yako.. inaonekana bado hujielewi au hauelewi unachokifanya
 
Summary: Weka kijiko 1 au 2 kwenye kikombe au glass yenye maji, sio lazima yajae, koroga. Subiri dk 5 kunywa. Waeza kunywa saa 1 kabla au baada ya tendo, yasipte masaa 6


na hayo majivu anaweka kiasi gani au vijiko vidogo/vikubwa vingapi kwenye glasi ya maji. au unaweka tani yako
 
YOU gonna kill some innocent pippo !!! mada yako inahatarisha maisha na afya za wanaadamu "ukiua mmoja kamaa uliyeua umati" (majivu huwa yana mchanganyiko wa sumu kutokana na mchanganyiko wa miti na mizizi) Tuchukuwe taadhari Sweetheart naja huania mbaya weewataka rahisisha LAKINI mmmh!!

Mti hata uwe na sumu kiasi gani ukishaunguzwa ukageuka kuwa mkaa automatically ile sumu itakuwa nayo imekufa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom