Habari zenu wana mmu....
Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....
Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...
Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......
Cc Bulldog
Kweli elimu siyo kumeza madesa tu. Nina swali hapo uliposema unakunywa lisaa limoja kabla au baada ya tendo. Sasa kama napiga hilo tendo mara tatu kwa usiku mmoja ktk interval ya masaa matatu, kwa hiyo kila nikitaka kupanda lazima mama apige hiyo glass ya juice jivu kwanza kabla sijapanda??
Last edited by a moderator: