Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Za hospital zinawasotesha sana.
Kalenda nayo kwa wenye waume ni shida tena. Duh sijui bora tu hiyo ya majivu unless madaktari waje wastate otherwise.

Kabisa lol kalenda ukikosea kidogo tu unakoma na za hospital ndio shida kabisa
 
Asante cn mumy ila sijafaham unatumia kila cku kwa sababu mi natumia vijit lkn naona madhara Makubwa na sijapata mbadala wa kinga

Vijiti???
Bora hata ukatafute mbegu za minyonyo kule kijijini. Hiyo kitu ikibuma ndugu yangu utasikiliziia mziki wake
 
Na sio watafuata yaan apo ni tunafuata kozi mm nlishatumia kwa mda mrefu.....kuliko kupata uvimbe na kansa za damu ni bora nitumie njia hii ya asil
Hapo sasa !! mie uchungu siyo mtumiaji..... uchungu mbegu zangu masikini mnazichakachuwa......!!
 
Mmm bora kama vp nizae tuu, majivu apana, kuna mimba nyengine visirani hazisikii dawa wala sindano, naikishaingia kutoka kazi utaruka Kamba panda ngazi 100 inakutizama tuu, hiyo mimba inaitwa utaniza Unataka usitake ....
 
Kalenda kwa wasiokuwa na waume wala walevi na wasio piga njunji mara kwa mara ndo wanaweza wakamaintain!

Hizo za hospital ni shida, kuna uzi mmoja humu watu wanalikuwa wanatoa ushuhuda..... madhara yake mpaka niliogopa!

Yaani mm kuna rafik yangu alikua anatumia sindano yaan amekondeana adi anatia huruma pia ana lalamika uke unatoa maji
 
Yaani ukiweza jaza hata mfuko kozi ni mazuri na hayana madhara nmekua nikitumia kwa mwaka wa pili sasa na pia kuna jiran yangu mmoja alikua akipata sana mimba tokea nmemshaur yamemsaidia sana tena sanaa
Alikua anazipeleka wapi hizo mimba kila akizipata? Madame please taratibu ujue
 
Sweetheart, topic nzuri ila ungetoa tahadhari kwamba hii ni kwa wale tu ambao wako licensed. Isije dada zetu wakazuia mimba wakapata magonjwa ya zinaa ya kuambukiza. Kwa sababu kuna watu wanaogopa mimba kuliko ukimwi.
 
Last edited by a moderator:
Kuna wengine pia vinawaletea chango.

Japo sijui hata definition ya Biology ila nafikiri hizi vidonge na misindano zinagusa hormone, kitu ambacho kina athiri vitu vingi mwilini. Ila hii ya majivu kama tu inaongeza acidity na kuzifanya mbegu zife (zisiwe na uwezo wa kuleta ujauzito) itakua na madhara madogo sana kama yapo.
 
sawa madam,sasa vp akihtaj mtoto anaacha kutumia au kwa muda gani? na vzur zaid baada au kabla ya tendo? maana nahc kama ukfanya baada tayar fertilization itakuwa imeshatokea so ukawa umechelewa au? dadafua plz
 
Back
Top Bottom