Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....

Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.
 
HIVI KWA NINI MLIKIMBIA BIOLOGY????

MASWALA YA KUANGAIKA MAJIVU AMBAYO PRACTICALLY YANAENDA KUREACT NA KIZAZI MAANA NDO ENEO LA TUKIO(according to mleta mada) USIJARIBU JARIBU MADUDE KWENYE KIZAZI EBOOO
tumia KALENDA UELEWE MWILI WAKO KWANZA THEN USE KALENDA LAKINI ujaolewa bado unaanza kuangaika nani kakwambia natural way ni majivu??? natural way ni kalenda tu

HUJAOLEWA DONT DO IT OR USE CONDOM

UKIOLEWA USE KALENDA
 
Kuna mobile apps nyingi ambazo zinaweza kusaidia katika mambo haya: mfano ladytimer nk. Kumbuka kujikinga endapo huna uhakika na afya ya mwenzi wako

Ladytimer is the best app kwa kukeep record
 

Shikamoo mwalimu Wang wa biology
 

We bado hujaanza pia? Hata mimi...
 
Kuna mobile apps nyingi ambazo zinaweza kusaidia katika mambo haya: mfano ladytimer nk. Kumbuka kujikinga endapo huna uhakika na afya ya mwenzi wako

Hii ya kalenda bila shaka
 
kumbe nazo zinasaidia. Thanx my dia maana hata sikuwa najua

...I used once nilipoona nimelikoroga nikaendelea kupata period kawaida siku zilipofika. But I don't know if ilisaidia au siku conceive.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…