Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

DSC00712.JPG
+ glass ya majivu kinachofuata ni kuchafua mashuka kwa uharo

Hahaha!
 
nishawahi kutumia hii ya majivu na sikuconsive zamani sana na alienieleza njia hiyo ni huyo tulokuwa tunasuguana duuu ila nilikuwa naogopa sana nilikuwa nahisi k utakuwa na reaction huko mwilini ya ajabu ajabu tu b
aada ya hapo kalenda tu baaaas
 
Habari wakuu wote jamvini....

Nimepata kusikia kuwa binti akinywa juice ya majivu ndani ya saa 2 toka mbegu za kiume ziingie ktk papuchi ake basi anakuwa salama kbs kuepuka mimba bila kujali siku ya salama au hatari.
Mchanganyo uko hivi,

1. Weka majivu nusu glass

2. Jaza sehemu ya glass iliyobaki kwa maji safi

3. Koraga na ili upate mchanganyiko mzuri

4. Acha maji yajitenge na majivu

5. Kunywa maji ya juu

Zingatia: waweza andaa juice hiyo kabla ya kuanza tendo kwa usalama. Juice haina madhara. Japo yaweza sababisha tumbo kuuma kwa muda mfupi.

Juice ina ukakasi/uchachu.

Wewe wajua kinga ipi ya asili?

Tupeane mawazo wadau wangu. Wote mnakaribishwa
Mimi Dawa ya kuzuia mtu asipate mimba ninayo lakini siwezi kuweka hapa kwa mwenye kutaka anitafute kwa pesa sitowe bure Bonyeza hapa.Mawasiliano ~ Mzizi Mkavu
 
kuna demu flan alikuwa malaya sana, ilikuwa akilala na mwanaume kavu kavu, anachemsha majani ya chai anaweka maji kidogo af anakunywa huo mchemsho. Mimba haishiki ila cjui yanafanyaje kazi
 
Eti nikweli ukinywa kikombe kimoja cha majivu yaliyo changanywa na maji baada ya kujamiiana hupati mimba
 
Mtakuja kujisababishia utasa wa milele na izi hadithi
 
huyu si ndo aliekuwa anaomba ushauri amempa mimba mwanafunzi naona sasa roho ya mauti imemwandama anataka akaue kiumbe aseeh usithubuti mwache azae tuu
 
Tumia condom ina uhakika kuliko majivu, morning after pills pia inaweza kukusaidia. Kama unafanya lile tendo na hutaki mototo, huogopi VVU?
 
Back
Top Bottom