Tayo zeboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 467
- 196
+ glass ya majivu kinachofuata ni kuchafua mashuka kwa uharo![]()
Hahaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
+ glass ya majivu kinachofuata ni kuchafua mashuka kwa uharo![]()
Mh we mwanamke wewe ?:ranger:siku fertile genye ziko juu balaaa..
Mh we mwanamke wewe ?:ranger:
Peku peku?!
Mh we mwanamke wewe ?:ranger:
kweli tena,nnavojua all women,rather most, wana experience hyo hali..
Mimi Dawa ya kuzuia mtu asipate mimba ninayo lakini siwezi kuweka hapa kwa mwenye kutaka anitafute kwa pesa sitowe bure Bonyeza hapa.Mawasiliano ~ Mzizi MkavuHabari wakuu wote jamvini....
Nimepata kusikia kuwa binti akinywa juice ya majivu ndani ya saa 2 toka mbegu za kiume ziingie ktk papuchi ake basi anakuwa salama kbs kuepuka mimba bila kujali siku ya salama au hatari.
Mchanganyo uko hivi,
1. Weka majivu nusu glass
2. Jaza sehemu ya glass iliyobaki kwa maji safi
3. Koraga na ili upate mchanganyiko mzuri
4. Acha maji yajitenge na majivu
5. Kunywa maji ya juu
Zingatia: waweza andaa juice hiyo kabla ya kuanza tendo kwa usalama. Juice haina madhara. Japo yaweza sababisha tumbo kuuma kwa muda mfupi.
Juice ina ukakasi/uchachu.
Wewe wajua kinga ipi ya asili?
Tupeane mawazo wadau wangu. Wote mnakaribishwa
Withdrawal tu ndo ninatumia and i like it
Atiiii still unakuwa upo sound mind at the climax point
Nimepata dawa ya kuzuia mimba kwa njia ya asili ukiweza nitafute kw akubonyeza hapa.MawasilianoHabar waungwana Naomba Maelekezo ya Njia ya ASILI ya kuzuia Mimba ambayo ni salama kabisa.
Tumia condom ina uhakika kuliko majivu, morning after pills pia inaweza kukusaidia. Kama unafanya lile tendo na hutaki mototo, huogopi VVU?