Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

huyu si ndo aliekuwa anaomba ushauri amempa mimba mwanafunzi naona sasa roho ya mauti imemwandama anataka akaue kiumbe aseeh usithubuti mwache azae tuu

ndo mwenyewe mtumwa wa....
 
Kweli majivu yanauwezo wa kudetermine sperm,but unatengeneza kwa mfumo wa magadi na iwe within 24 hrs pekee.
 
kama upo Dar nitafute nikutoe hiyo mimba bila malipo yoyote, teh teh teh. Ila V.V.U sitaweza kukutoa!!! Ulinogewa na utamu wa dakika 5 eeeh. pole sana binti a.k.a Mtumwa wa Mungu.

Alafu ivi huyo Mungu wako ni wa aina gani anaekutuma ufanye mambo ya hatari-hatari kiivyo?

-Kaveli-
 
Dogo unahangaika sana na mimba yako ya siku 2 vp ashaanza kukwambia anaskia kichefu chefu 😛😛
 
kama upo Dar nitafute nikutoe hiyo mimba bila malipo yoyote, teh teh teh. Ila V.V.U sitaweza kukutoa!!! Ulinogewa na utamu wa dakika 5 eeeh. pole sana binti a.k.a Mtumwa wa Mungu.

Alafu ivi huyo Mungu wako ni wa aina gani anaekutuma ufanye mambo ya hatari-hatari kiivyo?

-Kaveli-

Ni mungu na sio Mungu
 
Habari zenu wana mmu....

Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....

Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...

Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......

Cc Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana MMU,

Habari za siku nyingi leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.

Njia yenyewe ya asili ni majivu
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubiri baada ya dakika tano ndio unakunywa na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo.

Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili na ni njia ambayo hata mimi nimekua nikiitumia na rafiki zangu pia.

Cc Bulldog
 
Waooooooohhhh this is amaizing...! Asante sana wacha ntafute kwa majirani jiko la mkaa lenye majivu..? Huuuuhh nlikuwa nshaanza kuwaza ntaanzaje kulea mimba ya mwasi flani hivi
 
Habari zenu wana mmu....

Habari za siku nyingi.........leo nataka nitoe ushauri kwa dada zangu au wadogo zangu, pia hata kwa kaka zangu kuhusu jinsi yakuweza kuzuia mimba kwakutumia njia ya asili tofauti na kama tujuavyo wengi wetu kwa sasa wamekua wakitumia njia kama vidonge vya kizuia mimba, sindano na vijiti ambapo njia hizo za za uzazi wa mpango zmekua na madhara makubwa kwa wanawake ikiwa na uke kua na maji na uvimbe tumboni.....

Njia yenyewe ya asili ni majivu....
Jinsi ya kutumia majivu ni unakoroga kijiko kimoja au viwili kwenye kikombe au grass sio lazima ijae maji unasubir baada ya dakika tano ndio unakunywa, na waweza kunywa majivu hayo lisaa limoja kabla ya tendo au baada ya tendo lakini yasizidi masaa sita baada ya tendo...

Ni njia nzuri sana na haina madhara pia ni njia ya asili....na ni njia ambayo hata mm nmekua nikiitumia na rafiki zangu pia ......

Cc Bulldog

Nice mada....but sorry haujaspecify ni type gani ya majivu coz mengine ni totally poison in human body inakuwaje?
Thank you
 
Last edited by a moderator:
Waooooooohhhh this is amaizing...! Asante sana wacha ntafute kwa majirani jiko la mkaa lenye majivu..? Huuuuhh nlikuwa nshaanza kuwaza ntaanzaje kulea mimba ya mwasi flani hivi

Yaani ukiweza jaza hata mfuko kozi ni mazuri na hayana madhara nmekua nikitumia kwa mwaka wa pili sasa na pia kuna jiran yangu mmoja alikua akipata sana mimba tokea nmemshaur yamemsaidia sana tena sanaa
 
Back
Top Bottom