Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasemaje?mwezi?
Miti mingine ina sumu mtakufa
Shangaa na wewe best...makubwa
mmhhh samtyms tunajitaftia maradhi wenyeweee oo mara kansa ya kizazi mara hazai na visingizio teleee!
Zamani nilikuwa naona watu wanalamba jivu wanasema dawa ya kiungulia, hii nayo sijui ikojemjinga hapa ataiga..kazi kweli kweli
Zamani nilikuwa naona watu wanalamba jivu wanasema dawa ya kiungulia, hii nayo sijui ikoje
Nimepata somo tayari, asante sana MkuuJivu linaondoa gas tumboni
Nimepata somo tayari, asante sana Mkuu
Kalenda ndio mpango mzima.Kalenda mimi ndo ninayoijua
Sanaaaa....
Maoni yako tafadhari
kuna dawa nyingi tu ambazo ni scientifically verified tunaweza kutumia hizo- postnor 2, metakelfin+ junior asprin, pia cyprofloxacin za U.T.I huwa zinaforce bleed kutoka thats why wajawazito hatuwapagi cypro endapo wakionekana wana UTI wao kuna dawa nyingne hupewa ambazo pia hutibu uti!! pia tunashauriwa kunywa maji ya baridiiiiii kabisa ikiwezekana yanayokaribia kuganda husafisha mbeguza kiume. asanteeeeee!
Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....
Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.
ahahahahaaaa ndugu achana na hizo njia kama mtu hutaki mimba toa kizazi kabisa