Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Hapo ni withdrawal method tu, huwa siamini njia nyingine zaidi na ukichangia nnavyochukia condom basi tu
 
mmhhh samtyms tunajitaftia maradhi wenyeweee oo mara kansa ya kizazi mara hazai na visingizio teleee!
 
also postnor 2 inafanya kaz within 72 hrs of unprotected sexual intacoz yani ukimeza ndani ya hizo siku 2 hupati mimba. wabheja!
 
Maoni yako tafadhari

kuna dawa nyingi tu ambazo ni scientifically verified tunaweza kutumia hizo- postnor 2, metakelfin+ junior asprin, pia cyprofloxacin za U.T.I huwa zinaforce bleed kutoka thats why wajawazito hatuwapagi cypro endapo wakionekana wana UTI wao kuna dawa nyingne hupewa ambazo pia hutibu uti!! pia tunashauriwa kunywa maji ya baridiiiiii kabisa ikiwezekana yanayokaribia kuganda husafisha mbeguza kiume. asanteeeeee!
 
kuna dawa nyingi tu ambazo ni scientifically verified tunaweza kutumia hizo- postnor 2, metakelfin+ junior asprin, pia cyprofloxacin za U.T.I huwa zinaforce bleed kutoka thats why wajawazito hatuwapagi cypro endapo wakionekana wana UTI wao kuna dawa nyingne hupewa ambazo pia hutibu uti!! pia tunashauriwa kunywa maji ya baridiiiiii kabisa ikiwezekana yanayokaribia kuganda husafisha mbeguza kiume. asanteeeeee!

Lakini kwa nini kujitesa kunywa madawa hayo yote, ndiyo hayo yameleta mpaka cansa ya kizazi
 
Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....

Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.

Umenichekeshaa hayo majivu atakunywaaa mpaka koo litoke damuu
 
Back
Top Bottom