nemulo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,589
- 440
Tiririka vema ili tutafiti kwa faida ya jamii nzima
Yaa Niliwahi kumuona mama moja jirani yetu akichuma hii dawa zamani nikiwa mdg ila all in all mbegu/matetere ya papai yakikaushwa na kusagwa inafanya kazi hiyo,mama yake na best yangu ni mmasai anafanyaga hizo ishu hadi alizawadiwa 5M na dada mmoja wa kikorea baada ya kumsaidia,hiyi ni 2004.