Ahsante MuhinaPole Sana!
Anza kwa kubadili life style, badili marafiki japo vigumu, jiunge na club za mazoezi, jilazimishe kupenda sana kuwa home mapema muda unapomaliza majukumu ya kutafuta kipato yaani baada ya kutoka kibaruani utapata tabu siku za mwanzo baadae utazoea! Hii kitu ilinitesa sana kwa kipindi kirefu nilipoamua sasa naishi maisha matamu sana japo nilimaliza miezi mitatu sipati usingizi! Nimepata hasara kidogo ya kupoteza marafiki karibu wote karibu mwaka wa tano sasa
Mie St. Anna inanipa kiunguliaHivi saint Anna ina shida gani?
Mi sipendi aina yeyote ya red wines, napenda white ones, any preference sky?
sawa sawaDawa ipo. Usinunue pombe na hata ukinunuliwa usinywe. Hapo utaacha
Huyo ( sky) anaishi huko mkuuAmesema huku hazipatikani mara nyingi analetewa kutoka kwa bwana Trump mkuu
Ngumu hutumii?Ngano na grapes
Exactly..there you are!Mie St. Anna inanipa kiungulia
Mtakatifu Anna (pombe) au Mtakati Anna wa kwenye vitabu vya dini?Exactly..there you are!
Halafu nasikia mastori kibao negativity tuu kuhusu Mtakatifu Anna...
Ila nampenda sana Sky Eclat ni dada mstaarabu sana kwa kweli. Ndio maana nikiona uzi wake kama kuna mtu anamjibu mbovu huwa navaa tabia za Mtikila (nainunua hiyo kesi).Huyo ( sky) anaishi huko mkuu
Siku moja naomba ujaribu altar wine hutojutia.... [emoji4] [emoji4] [emoji4]Exactly..there you are!
Halafu nasikia mastori kibao negativity tuu kuhusu Mtakatifu Anna...
Hata two oceans ni nzuri sanaSiku moja naomba ujaribu altar wine hutojutia.... [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Inaenda kwa ngapi dukani maana weekend ndio imekwishaingia hivyo....Hata two oceans ni nzuri sana
Kwa Mwanza nilipo maduka ya vinywaji ya jumla ni Tshs.15,000/= ikifika hotelini/baa ni Tshs.18,000/= kwingine ni Tshs.20,000/=Inaenda kwa ngapi dukani maana weekend ndio imekwishaingia hivyo....
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] kumbe uko mwanza nime wa miss sato wa huko mkuu.....Kwa Mwanza nilipo maduka ya vinywaji ya jumla ni Tshs.15,000/= ikifika hotelini/baa ni Tshs.18,000/= kwingine ni Tshs.20,000/=
Alafu jioni ikifika unaanza moja na ukijua wazi kuwa utaumwa kama ulivyouguwa asubuhi!Yaani kuzimu unaiona karibu zaidi ya ukaribu wa shati na ngozi
Hivi Safari Lager ni pombe kali!?Tatzo unatumia pombe kali tumia windock na Heineken
Karibu sana[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] kumbe uko mwanza nime wa miss sato wa huko mkuu.....
Ngoja baadae nitakuwekea mrejesho hapa.....
Hongera sana na ubarikiwe!Pole Sana!
Anza kwa kubadili life style, badili marafiki japo vigumu, jiunge na club za mazoezi, jilazimishe kupenda sana kuwa home mapema muda unapomaliza majukumu ya kutafuta kipato yaani baada ya kutoka kibaruani utapata tabu siku za mwanzo baadae utazoea! Hii kitu ilinitesa sana kwa kipindi kirefu nilipoamua sasa naishi maisha matamu sana japo nilimaliza miezi mitatu sipati usingizi! Nimepata hasara kidogo ya kupoteza marafiki karibu wote karibu mwaka wa tano sasa
Ni bia "ngumu"Hivi Safari Lager ni pombe kali!?
Uliwahi kuonja?Alafu jioni ikifika unaanza moja na ukijua wazi kuwa utaumwa kama ulivyouguwa asubuhi!
Hili la pombe walahi ni pepo hai kabisa!
Kuna ambao wanajua kuimudu lakini alcholics we acha tu!
Utagombana na kila mtu, na kujifanya mjuaji wa kila kitu!
Kesho yake unashinda kwenye simu kuomba misamaha kwa watu uliowaudhi, alafu jioni yake unaanza tena moja!
Walahi pombe ni mwanaharamu kweli kweli!
Duh staki skia kabisa!
Haaa haaa...mt.anna pombe bana, wazungu na hizi dini zao mmmh!Mtakatifu Anna (pombe) au Mtakati Anna wa kwenye vitabu vya dini?