Trice Sturmius
Member
- Sep 8, 2011
- 41
- 3
Sikia, tafuta maziwa ya nguruwe kidogo sana(samahani km ni muislam, ila ndiyo dawa pekee na isiyo na madhara). Unachovya kidole chako humo na unamdondoshea tone 1 tu kwenye maji yake ya kunywa au kinywaji chake chochote. Lakini hakikisha humuwekei zaidi ya tone 1. Make sure "1 Drop". Toka hapo, kila atakapojaribu kunywa pombe lazma atapike, mwisho wa siku ataichukia pombe maisha yake yote. I swear. Ila polen kwa hyo kero mnayoipata.