Trice Sturmius
Member
- Sep 8, 2011
- 41
- 3
Unasema uongo wewe Maziwa ya nguruwe sio Dawa ya kuacha kunywa Pombe. dawa ya kuacha Pombe tafuta Mama anaye nyonyesha akutilie kwenye pombe yako maziwa yake kidogo tu utaacha kabisa kunywa Pombe fanya hivyo unipe FeedBackSikia, tafuta maziwa ya nguruwe kidogo sana(samahani km ni muislam, ila ndiyo dawa pekee na isiyo na madhara). Unachovya kidole chako humo na unamdondoshea tone 1 tu kwenye maji yake ya kunywa au kinywaji chake chochote. Lakini hakikisha humuwekei zaidi ya tone 1. Make sure "1 Drop". Toka hapo, kila atakapojaribu kunywa pombe lazma atapike, mwisho wa siku ataichukia pombe maisha yake yote. I swear. Ila polen kwa hyo kero mnayoipata.
Unasema uongo wewe Maziwa ya nguruwe sio Dawa ya kuacha kunywa Pombe. dawa ya kuacha Pombe tafuta Mama anaye nyonyesha akutilie kwenye pombe yako maziwa yake kidogo tu utaacha kabisa kunywa Pombe fanya hivyo unipe FeedBack
Nijuavyo mimi Nyama ya Nguruwe ina vijidudu (bacteria) ambavyo hata uchemshe kivipi nyama yake hivyo vijidudu havifi itakuwa hayo maziwa? Kwa ufupi mimi siwezi kummpamtu ushauri atumie Maziwaya nguruwe Eti kwa sababu ni dawayakuacha kunywa pombe? Je akija pata maradhi mengine yanayotokana na hayo maziwa ya nguruwe? Je itakuwaje?Hii hata mimi niliisikia; ila waangalie health status ya huyo mama, isije ikaongeza tatizo!
Mimi sipo huko nyumbani lakini inategemea jinsi wanavyolima huo mchicha hao watu wa Msimbazi. Ikiwa wanaulima huo mchicha ipasavyo kulimwa utakuwa huo mchicha hauna madhara lakini ikiwa hawaulimi huo mchicha inavyotakiwa ulimwe utakuwa huo Mchicha una madhara kwa binadamu.thanks mzizimkavu, very useful. ndio maana wenzetu wanafocus kwenye malezi na prevention ya magonjwa kwa wanyama na mimea. sijui sie... kila siju huwa najiuliza madhara ya mchich wa msimbazi
issue ya mchicha pale tatizo ni takataka zenye sumu toka viwandani and other solid wastes including arsenic compounds, hata walimeje mchicha pale hizo solid wastes (tena na sasa DDT imeongezeka) zina long term damage to human beingsMimi sipo huko nyumbani lakini inategemea jinsi wanavyolima huo mchicha hao watu wa Msimbazi. Ikiwa wanaulima huo mchicha ipasavyo kulimwa utakuwa huo mchicha hauna madhara lakini ikiwa hawaulimi huo mchicha inavyotakiwa ulimwe utakuwa huo Mchicha una madhara kwa binadamu.
nadhani aliteleza tu........... mchicha ukilimwa vizuri kwenye mazingira hatarishi nao ni hatari, na nguruwe akifungwa vizuri kwenye mazingira hatarishi na yeye ni hatari piamzizi mkavu huachi kunishangaza.
Kaka mchicha unalimwa vizuri basi hauna tabu, je kama nguruwe anafugwa vizuri na anapikwa akaiva je!??!!
Mtm kasema maziwa ya mwanamke hayasaidii, kashajaribu, unasemaje.
Acha uganga ndugu yangu.
Memo Mambo hay wewe tuachie sisi wewe kazi yako ni hiyo kukimbia kimbia sana mpaka uwe Mwembamba ninafikiri wewe unachokitambi ndio maana unapenda kukimbia kimbia kimbia sana kama Filbert Bay hahahahahah.mzizi mkavu huachi kunishangaza.
Kaka mchicha unalimwa vizuri basi hauna tabu, je kama nguruwe anafugwa vizuri na anapikwa akaiva je!??!!
Mtm kasema maziwa ya mwanamke hayasaidii, kashajaribu, unasemaje.
Acha uganga ndugu yangu.
Vp mkuu LEGE, siyo kweli kuwa dini zote haziruhusu pombe. Huo ni upotoshaji.Yeye mwenyewe kwanza ni dawa tosha kbs kama akiamua kuacha ata acha.Na kama hatakuwa tayari hata kama mtampa hayo maziwa ya nguruwe na ya mama hata debe zima lkn bado ataendelea kuchapa 2.
Pili amrudie mora wake ni tiba tosha kwani hakuna din inayo ruhusu kunywa pombe dunian.
Tatu dawa za uhakika mpeleke kwa wichi dokta kwan hata hayo maziwa ya nguruwe ni kweli yanafanction lkn huambatana na mambo ya kiwich dokta kdg..