Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Ninahangaika kwa muda wa miaka miwili ili niache pombe ila nashindwa, nifanyaje ili nifanikiwe?

Siyo mnywaji wa kulala bar, bajeti ninayopanga kunywea huwa haiongezekaji hata pombe zikolee

Changamoto inayonifanya niache ni
1) Niko shule kwa hiyo hizo 10000 za mara moja moja kunywea zinanikata
2) Huwa naishi kugombana na wife kwa sababu ya harufu mbaya kiasi cha kuninyima chakula cha usiku mara kwa mara kwa sababu ya kaharufu
3) Nina uzito mkubwa mno ambao moja ya ushauri wa madaktari ni kwamba niachane na pombe kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa siongezeki zaidi
4) Ni kinyume na maadili ya dini yangu, kazi yangu na wadhifa wangu

Nawasilisha
 
Nina hangaika kwa muda wa miaka miwili ili niache pombe ila nashindwa,nifanyaje ili nifanikiwe?

Siyo mnywaji wa kulala bar, bajeti ninayopanga kunywea huwa haiongezekaji hata pombe zikolee

Changamoto inayonifanya niache ni
1) Niko shule kwa hiyo hizo 10000 za mara moja moja kunywea zinanikata
2) huwa naishi kugombana na wife kwa sababu ya harufu mbaya kiasi cha kuninyima chakula cha usiku mara kwa mara kwa sababu ya kaharufu
3) Nina uzito mkubwa mno ambao moja ya ushauri wa madaktari ni kwamba niachane na pombe kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa siongezeki zaidi
4) Ni kinyume na maadili ya dini yangu, kazi yangu na wadhifa wangu

Nawasilisha
Kukata addiction ni kitu kigumu kinyama.

Issue hapo ni kupunguza Kidogo Kidogo, kuachana na marafiki walevi na kutafuta hobby mpya.
 
Nyuzi za naachaje pombe ziko nyingi na wadau wametoa maoni yao. Jaribu kutafuta usome na ujaribu njia zilizotolewa uone kama utawezana nazo.
 
Angalia faida & hasara; linganisha halafu chukua hatua stahiki. Mazoea ni kama kupanda mlima hadi juu kileleni kisha unaibukia upande wa pili. Ili urudi mahali sahihi ulikotweuka awali, basi huna budi kuukwea tena mlima huo hadi juuuu kisha ushukie ng'ambo ya pili. Yes! Kuna kikazi cha kufanya -- kama tu awali ulivyokuwa unatesti bia kufu moja kumeza hadi ufumbe macho. Bahati nzuri mazoea siyo kama ngozi isiyoondoka, bali ni kama nguo which can be worn and ^unworn^ AT YOUR OWN WILL AT ANY MOMENT.
 
Hapa nilipo mda huu nakula vyombo, huwa nakunywa mara moja kwa mwezi na kesho naenda kulijenga taifa kama kawaida panapo majaaliwa.

Pombe inaachwa mdo mdo, siyo kwa kushtukiza.
 
Nina hangaika kwa muda wa miaka miwili ili niache pombe ila nashindwa,nifanyaje ili nifanikiwe?

Siyo mnywaji wa kulala bar, bajeti ninayopanga kunywea huwa haiongezekaji hata pombe zikolee

Changamoto inayonifanya niache ni
1) Niko shule kwa hiyo hizo 10000 za mara moja moja kunywea zinanikata
2) huwa naishi kugombana na wife kwa sababu ya harufu mbaya kiasi cha kuninyima chakula cha usiku mara kwa mara kwa sababu ya kaharufu
3) Nina uzito mkubwa mno ambao moja ya ushauri wa madaktari ni kwamba niachane na pombe kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa siongezeki zaidi
4) Ni kinyume na maadili ya dini yangu, kazi yangu na wadhifa wangu

Nawasilisha
Hii ndio changamoto inayonikabiri sasa hivi; kila nikipanga niache, mzigo ukishaingia tu kwenye account lazima nitenge kazaa. Mbaya zaidi Sina limit ya amount to spend ikishaanza kukolea. Nimekutana na mtaalamu wa miti shamba ananiambia Kuna dawa na nitaichukia pombe. Nataka nianze kuitumia hiyo dawa nione itakuwaje?
All on all Mungu atusaidie maana pombe inamaliza akiba yoote
 
Nina hangaika kwa muda wa miaka miwili ili niache pombe ila nashindwa,nifanyaje ili nifanikiwe?

Siyo mnywaji wa kulala bar, bajeti ninayopanga kunywea huwa haiongezekaji hata pombe zikolee

Changamoto inayonifanya niache ni
1) Niko shule kwa hiyo hizo 10000 za mara moja moja kunywea zinanikata
2) huwa naishi kugombana na wife kwa sababu ya harufu mbaya kiasi cha kuninyima chakula cha usiku mara kwa mara kwa sababu ya kaharufu
3) Nina uzito mkubwa mno ambao moja ya ushauri wa madaktari ni kwamba niachane na pombe kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa siongezeki zaidi
4) Ni kinyume na maadili ya dini yangu, kazi yangu na wadhifa wangu

Nawasilisha
Mimi niliamua tu, mwaka huu sinywi pombe.

Niliamua kuacha tangu January 3 2021.

Na mpaka sasa sijanywa pombe.

Kwangu ni uamuzi tu.
 
Kunywa ulewe Sana kiasi Cha kushindwa kurudi kwako. Masela watakufanyia kitu mbaya. Hapo ukikumbuka tu hutatamani kunywa
 
Liko wapo hilo kundi?
Hili lipo dunia nzima. Sijui hapa kwetu . Li search. Pia unaweza soma hiki kitabu, kitakusaidia.
IMG-20210113-WA0006.jpg
 
Kuna kipind niliweza kuacha, kwa miez 6 hivi.
Ila nikashindwa na kurudia bia tena, ila sio kama hapo awali.
Sasahiv nakunywa ila mara moja kwa wiki, Ijumaa au jumamosi. Na sion kama zinashida.

Nilijaribu kutafakari sana kipind kile nakunywa sana, kipind ambacho sikunywa na kipindi hiki nachokunywa kwa wastani. Pia kutafakar na wanywaji wengine.

Nimegundua kuwa 1. wengi hunywa bia kama kipoteza muda (kufuata kampan za bia ni kama zile vilinge vya wanywa kahawa, wacheza Draft, waangalia mpira nk) , 2. au weng hunywa kama kiburudisho (starehe). 3. Na wengine ni kipoteza mawazo (stress) hii ndio mbaya zaid.

Ila ile sababu inayokufanya unywe bia hata uliposema hunywi ndio hasa unatakiwa kuanzia kuifanyia kazi.

Kama ni kampan, iteme mdogo mdogo,
Kama ni starehe tafut starehe nyingine
Kama ni stress fanya mazoez au kuwa busy kuipotezea.

Mm ilikuwa kampan kupoteza muda na starehe.

Niliacha kampan na nilitafuta hobby nyingne na nikaweza.

Kila la kheri, inawezekana ila anza kidogo kidogo.
 
Nina hangaika kwa muda wa miaka miwili ili niache pombe ila nashindwa,nifanyaje ili nifanikiwe?

Siyo mnywaji wa kulala bar, bajeti ninayopanga kunywea huwa haiongezekaji hata pombe zikolee

Changamoto inayonifanya niache ni
1) Niko shule kwa hiyo hizo 10000 za mara moja moja kunywea zinanikata
2) huwa naishi kugombana na wife kwa sababu ya harufu mbaya kiasi cha kuninyima chakula cha usiku mara kwa mara kwa sababu ya kaharufu
3) Nina uzito mkubwa mno ambao moja ya ushauri wa madaktari ni kwamba niachane na pombe kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa siongezeki zaidi
4) Ni kinyume na maadili ya dini yangu, kazi yangu na wadhifa wangu

Nawasilisha
Kweli Mkuu iache ili wanywaji tubaki wachache na ili pombe zipungue bei.
 
Back
Top Bottom