Doctizo Mtengwa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 828
- 1,513
Na bia haishuki na ugali maharage.
🍚+🥣+🍺
Hata utumie logarithms
Inakataa kuleta jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bia haishuki na ugali maharage.
Mi ntaachana na K Vant pale daktari bingwa atakaponihakikishia kuwa kama nikinywa leo basi kesho nitadedi...Tiba yako ndo yangu,ukisaidiwa hapa nami nitakuwa nimesaidika.ILA mimi toka tarehe 1/1/21 nimejiwekea mikakati ya kutokunywa kinywaji aina ya kinywaji iitwayo Konyagi na K vant kwani naona mwaka jana nilikuwa mtu wa kufa kwa kuzidisha na kuyanywa sana majitu hayo,nimeungua midomo,nahisi maini pia si salama.Namshukuru Mungu leo ni siku ya 11 bila kuonja hayo mavitu.
So nami natamani nikifanikiwa hili ndo nije hatua ya pili ya kuiacha beer.
NOTE:Hii sio kauli kwa ajili ya kujihami na karo za January bali inatoka moyoni,kwn nimeyagonga mno na kila mtu akiniona ananiambia ACHA spirits,hawa watu nawaona malaika natafakari sana juu yao kwangu,why me!!
Hahhahaha wa chama mimi nimekwambia madhara machache yangu,ila hakika hii kitu nahisi naishindwa,sasa sijui na age inachangia?coz kwenye 40's kurudi nyuma nilikuwa nasema km wewe but now days nikiikunywa mambo yangu yanaenda hovyoMi ntaachana na K Vant pale daktari bingwa atakaponihakikishia kuwa kama nikinywa leo basi kesho nitadedi...
Tena ntaupima ukweli wake kwa kunywa japo vi-tots viwili usiku ili nione nikiamka asubuhi kama ziraili atanibeep...
Ukishainunua na ikawa tayari imeshafunguliwa, unaacha kuibugia kwenda mdomoni, badala yake unaimwaga chini. Hapo ndiyo utakuwa umeweza kuacha kunywa biaWakuu kwema?
Pombe pekee ninayokunywa huwa ni serengeti light,so imefikia point nataka niache kunywa kabisa kitu kinachoitwa pombe.kila nikijaribu kuacha nashindwa..mfano jana kizembezembe tu nimejikuta nimepiga chupa 8 za serengeti light.
Naomba mnipe mbinu za kuachana na unywaji wa pombe wakuu.
Nakushauri kunywa na ulewe haswa.
Ukipoteza fahamu waje wanaume wa shoka wakuvunjie yao huko kwenye tigo yako.
Trust me utaacha pombe haraka sana.!
Wewe baada ya kufanyiwa hivyo ndio uliacha mkuu?Pole sana mkuu
Mm bado nakunywa ila kiistaarabu.
Muulize dada yako atakuambia.
Kwa nini unataka kuacha?Wakuu kwema?
Pombe pekee ninayokunywa huwa ni Serengeti Lite, so imefikia point nataka niache kunywa kabisa kitu kinachoitwa pombe. Kila nikijaribu kuacha nashindwa. Mfano jana kizembezembe tu nimejikuta nimepiga chupa 8 za Serengeti Lite.
Naomba mnipe mbinu za kuachana na unywaji wa pombe wakuu.