Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yesu wangu[emoji134]Ndio, nataka kuacha pombeeeeee
Kwanini unakunywa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu wangu[emoji134]Ndio, nataka kuacha pombeeeeee
Niachishe my love...Yesu wangu[emoji134]
Kwanini unakunywa?
Hukuwahi kuniambia kama unakunywa [emoji134]Niachishe my love...
Fanya hivyo bhas sweetheartHukuwahi kuniambia kama unakunywa [emoji134]
Ningekuwa nishakuachisha
MUNGU wangu [emoji134]Fanya hivyo bhas sweetheart
Hahaha sijawahi hata kuwazaMUNGU wangu [emoji134]
Isije ikawa unavuta na bangi
Wenyewe ndo mabigwa wa kupiga Hizo kituPole ndugu; Jambo la msingi nenda hospital ukaonane na madactari wa ushauri nasaa unaweza acha pombe au kupunguza Kwa kiwango kikubwa.
SawaHahaha sijawahi hata kuwaza
Mwisho Xmass my love😊Sawa
Endelea na pombe
Wewe endelea tu.Mwisho Xmass my love[emoji4]
Kwahiyo unanipiga mkwara sasa baby?😉Wewe endelea tu.
Unachokitafuta utakipata
Muone[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unanipiga mkwara sasa baby?[emoji6]
Leo ulikuwa busy sana sweetheart, sijaona hata missed call yako🤔Muone[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nakupigaje mkwara wakati nakuogopa[emoji85]
Nimelala sana leo.Leo ulikuwa busy sana sweetheart, sijaona hata missed call yako[emoji848]