Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi kukutaka radhi mpaka unionyeshe Kuwa unayo ndo niitake hiyo radhi alasivyo kalale ukue..[emoji28]
Mpokee Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, yaani UOKOKE. Nakuhakikishia kiu ya pombe itakata mara moja, na utakuwa ushuhuda kwa wengine.Habari za leo wakuu,
Najua humu kuna baadhi yenu mnajiuliza swali kama langu.
Ni dawa gani unaweza kutumia ili kuacha pombe kabisa.
nipo Mwanza mkuuUpo wapi mkuu??
He mkemia wa kubadirisha CO2 kuwa Diesel na Petrol wauliza hili swali kweli?!Habari za leo wakuu,
Najua humu kuna baadhi yenu mnajiuliza swali kama langu.
Ni dawa gani unaweza kutumia ili kuacha pombe kabisa.
Naweza nikapata mawasiliano na hawa jamaa please?Kama upo Songea Mjini,. Nenda ndulu clinic, anayo dawa ya kuacha pombe.
Hutaitamani tena kabisaaa.
Ndio nauliza kwasababu dawa za binadamu sio taaluma yangu. Watu wa pharmacy na medicine ndio watakuwa na majibu. Kwasababu wao ndio wanaelewa vizuri reaction ambazo humfanya mtu kusikia kiu ya pombe. Hivyo watakua na majibu tu.He mkemia wa kubadirisha CO2 kuwa Diesel na Petrol wauliza hili swali kweli?!
unaweza kuwa na mawasiliano yaoKama upo Songea Mjini,. Nenda ndulu clinic, anayo dawa ya kuacha pombe.
Hutaitamani tena kabisaaa.
Asante kwa jibu lako murua mkuu. Nilijua utapanic ili nipime busara zako relating to your profession.Ndio nauliza kwasababu dawa za binadamu sio taaluma yangu. Watu wa pharmacy na medicine ndio watakuwa na majibu. Kwasababu wao ndio wanaelewa vizuri reaction ambazo humfanya mtu kusikia kiu ya pombe. Hivyo watakua na majibu tu.
Kwani unakunywa?[emoji848]Naweza nikapata mawasiliano na hawa jamaa please?
Ndio, nataka kuacha pombeeeeeeKwani unakunywa?[emoji848]