Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Dear gambe, likitokea tatizo we ni wangu kimbilio
 
Nakushukuru mkuu
 
I tin ningekuwa karibu nawe huenda ungeacha, nina uwezo wa kudeal nawe vzr mpk ukaacha kabisa. Namshukru Mungu wengi wa marafk zangu nilikuwa nawakuta na tabia mbaya ikiwemo ya ulevi but kupitia mm wananishukuru sana. But nilipata shida sana kudeal na mvuta ugoro, aiseeee, alijitahid mwez mzm hajaweka mdomoni ck moja tunarud chuo akanambia "bwana nashukuru sana kwa kunipa training ya vitendo ila mm mwanafunzi wako nimezidiwa naomba unisamehe" bc akarudia kamchezo but tukiwa mwaka wa mwisho Mungu n mwema alimwokoa na yeye.
But kwa kuwa upo mbl nam nakupa mwongozo tu. Soma bibilia mkuu, watu wa huruka yako huwa wapo mbal na hiki kitabu, ila I swear, ukikiweka karibu bc utaacha rahs sana, na katika maombi yako jiweke deep yan hadi uhis kulia ukijutia hilo swala. Mkuu nakuapia ukienda ck mbili utakuwa sawa na Mungu atakusaidia.
 
Rahis Sana,... Amua tu, nliamua tu sku
moja tu tar 1 march 2014 stak
tena pombe na had leo nimeweza..... Amuaa tu mkuu, hamna habar ya kuacha kdogokdogo wala vsngzio hapo n kuamua tu. All the best
 
Mi nikajua unataka ushauri wa pombe iachane na wewe kumbe wewe ndio unataka kuiacha!!
 
Rahis Sana,... Amua tu, nliamua tu sku
moja tu tar 1 march 2014 stak
tena pombe na had leo nimeweza..... Amuaa tu mkuu, hamna habar ya kuacha kdogokdogo wala vsngzio hapo n kuamua tu. All the best
Asante
 
Jifunze na fahamu madhara ya pombe kwenye mwili wako. Itakusadia kujenga sababu za kwanini uache pombe.

 
Dawa yake siku atakapokunywa akaangusha gari watu wakavunja duka ataacha siku hiyohiyo kuna mifano mingi tu ya aina hiyo hakuna dawa zaidi, viginevyo ni maombi tu mpigieni maombi ya nguvu
Kuna kunywa kistaarabu na ulevi Mbwa Sasa hivi ni vitu viwili tofauti...........

Kuna wanao kunywa for recreational perpose na Kuna wanao shindana na pombe (ukishindana na pombe unataka kuzima)
 
Atafute manemane Duka la dawa za asili, loweka kwenye maji kunywa kuondoa nguvu ya pombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…