Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Kaa mbali na marafiki zako walevi.
Fanya ibada mara kwa mara kila siku.
Tembea na biblia/quran portable mfukoni
Mpe mshahara wako wote mke/mzazi wako akae nao hawe anakupa kidogo kidogo na kwa sababu muhimu.
Fanya mazoezi kila siku.
Kila la kheri , chagua kati ya ushauri niliokupa hapo juu ambao unaona utaweza mudu. Unaweza kuchagua zaidi ya moja.
Fanya ibada mara kwa mara kila siku.
Tembea na biblia/quran portable mfukoni
Mpe mshahara wako wote mke/mzazi wako akae nao hawe anakupa kidogo kidogo na kwa sababu muhimu.
Fanya mazoezi kila siku.
Kila la kheri , chagua kati ya ushauri niliokupa hapo juu ambao unaona utaweza mudu. Unaweza kuchagua zaidi ya moja.