wadau/wakuu wa jamvi nisaidien katika hili nataman sana kuacha pombe lakini nashindwa nifanyaje? Na je kuna dawa maalum ya kutumia ambayo inaweza nsaidia?(mi ni nywaj wa kama bia 7 na kuendelea kwa siku wakat mwingine had nazima kabisa)
Unajishushia heshima yako kwa kutoa ushauri laini namna hii.
Siu akivunjiwa yai uwani mbona hatahitaji msaada wa mawazo wala dawa.
Sijaelewa maelezo yako yanahusianaje na komenti yangu ya awali?
Dawa ya moto ni moto we ongeza kunywa tu mpaka siku uzime then kesho yake ukikuta wamekuharibu kabaang ndo itakuwa mwisho wako.
Wadau kila nkijitahd kuacha baaada ya sku 2 -3 narudia tena yan had nashindwa kuelewa nifanye nn?
Utaelewaje na wewe umelewa? Haya: Nilimaanisha hana haja ya kushauriwa chochote, ye aendelee tu, siku atakapoona ute sehemu ambayo hajazoea kuuona mbona ataacha tangu siku hiyo.
Uache pombe ili iweje? Au unataka serikali ikose mapato yatokanayo na biere zako za kila siku? Ujue kuacha kwako kuta waathiri watanzania wengi sana we endelea tu mpwa na ukishindwa kabisa mtafute aliyekufundisha kunywa kisha akuelekeze namna ya kuacha
Umeitaja zanzi!! nimedata!!siku hizi nanywa zanzi ana G&t manake dompo zinakausha sana mdomo.
upo mdogo wangu?? siku hizi hatupishani posta tena looool?
Umeitaja zanzi!! nimedata!!
Enheee! Sasa huyu Kongosho alikuwa anielewi nini jamani mbona wengine mnaelewa falsafa! Hii ndio dawa hasa. Yaani harudii tena na akiiona tu chupa anakumbuka 'Kabaaang' anapiga mbio kuelekea nyumbani
kila siku namlaumu sana Mrema kwa kuharamisha bange.