Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Jambo la kwanza ni kuacha kunywa pombe jaribu kuchunguza chanzo kilichokufanya uanze kunywa pombe?Tafuta suluhisho kama kuna sababu zilosababisha uwe mlevi.
Dawa zipo mojawapo ni NALTREXON au ACAMPROSATE hizi dawa zinakupunguzia hitaji na abstinence symptoms za alcohol.
DISULFIRAM ni chaguo jingine.
Soma linki nimekuwekea hapo chini:
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/465792-dawa-ya-kuacha-pombe.html
Mkewe siyo kwamba amenyamaza kimya, ila amechoka kusema naye lakini kwa vile huyo kaka yenu ni mtu mzima hana la kufanya.
Unadhani anapenda hali hiyo? Kwanza fedha zote za matumizi na nyengine zinaishia kwenye pombe.
Na nyinyi vijana wa siku hizi ndiyo munazidi kuipendezesha hiyo pombe, mara 'nani kamwaga pombe yangu', mara 'ningekuwa na uwezo ningelewa..... ' na nyengine nyingi zenye maudhui aina hiyo.
Kwa nini hamutoi nyimbo ya madhara ya pombe badala ya kuisifia?
Imeandikwa DAWA YA KUACHA POMBE!mbona siioni mkuu
Imeandikwa DAWA YA KUACHA POMBE!
how?!!Pamoja na hayo mimi sijapna hio link aliyosema kaweka
Hahaha Rahisi sana....mpe mafuta ya Nguruwe anywe wakati akiwa amelewa....atatapika nusu afe ......then atakua na allerge hata kusikia harufu ya pombe......
Huku Milimani nakowinda ndege ndio dawa yetu hiyo:
how?!!
Link ipo sasa sijui watumia simu ya aina gani? Upo mkoa gani? Maana kuna mama yupo Wilaya ya Kongwa Dodoma ukitoka Kibaigwa kituo utakachoshuka kinaitwa Narco barabara ya kuelekea Kiteto then unashuka kituo cha kwanza ambapo panaitwa Chamae then muulizie mama anaitwa Mama Rashidi kwani watu mbalimbali amewasaidia sana,kwa maelezo mengne nipm then weka namba ya simu ntakupgiasoma vizuri ile post utagundua kuwa hamna link
Tumemuweka vikao vingi lakini haonekani kubadilika mkuu,
Link ipo sasa sijui watumia simu ya aina gani? Upo mkoa gani? Maana kuna mama yupo Wilaya ya Kongwa Dodoma ukitoka
Kibaigwa kituo utakachoshuka kinaitwa Narco barabara ya kuelekea Kiteto then unashuka kituo cha kwanza ambapo panaitwa Chamae then muulizie mama anaitwa Mama Rashidi kwani watu mbalimbali amewasaidia sana,kwa maelezo mengne nipm then weka namba ya simu ntakupgia
Nipe japo kwa kifupi muongozo wa namna ya kumpa ushauri kama dawaa hakuna mkuu
akilewa mvunjieni yai kwnye tigo
yeah,unaweza kudhurika bora uanze kupunguza na sio kuacha ghafla,hiyo ni kama ulifikia stage ya kuwa unatetemeka mikono kama hujazimua.wana jamvi naomba kujuzwa madhara ya kuacha pombe ghafla kama ulikua mnywaji wa kila siku .... je unaweza kudhurika???
yeah,unaweza kudhurika bora uanze kupunguza na sio kuacha ghafla,hiyo ni kama ulifikia stage ya kuwa unatetemeka mikono kama hujazimua.
basi waweza acha kwani mishipa ya fahamu bado haijaadhirika.huko kwa kutetemeka haijafikia....