Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Uache halaafu Serikali itoe wapi fedha za kulipa watumishi wake?
 
Dawa ya kuacha pombe ni maziwa ya mama anaenyonyesha .Unachukua glass yenye pombe, unakamulia maziwa ya maza anaenyonyesha ila usikamulie mengi, kisha unamwacha mnywaji anakunywa huo mchanganyiko, pasipo yeye kujua kua kuna maziwa yamekamuliwa kwenye pombe yake. Akishakunywa atatapika saaana na hatakaa aonje pombe maisha yake yote.
 
Nikisikia maziwa ya binadamu ukiweka kwenye beer kushnei sasa sijui kuna reaction gan
 

mambo kama haya yananifanya nifurahie uamuzi wangu wa kutokujaribu kilevi chochote duniani. Kwa hili am proud of me
 
Unataka kuacha bia! Unamuachia nani? Kunywa bia bana
 

mkuu mbona unaisalit TBL wakati wanachana tunakuitaji
 
mambo kama haya yananifanya nifurahie uamuzi wangu wa kutokujaribu kilevi chochote duniani. Kwa hili am proud of me

Daah tuko timu moja..tuna haja ya kujipongeza.
 
Jamii forum dr kuna ndugu yangu anasumbuliwa na tatizo la ulevi wa pombe je ni kitu gani afanye kuacha hiyo kitu?

 
Hii sredi nakomaa nayo mpaka mwisho.

Nataka kuacha but withdrawal symptoms huwa zinanitesa sana.

I can only stay a few hours without drinking.

Then I start shaking, headaches and anger spells.

The minute am sober, I drink some more.

I cant seem to stop.

Heeeelllpppp!!
 
Ni kazi sana kuacha pombe. Inabidi utumie nguvu zote. Maamuzi binafsi, msaada wakitabibu na wa kidini kama ni muamini.

Yaani ni bora ndugu yako akamatwe na simba au Osama unaweza mpigania, akikamatwa na pombe inamchakaza mbele yako na huna la kumsaidia, so sad!
 
Ushajaribu rehab?

 

ni kweli ndugu yangu, baba yangu aliteswa na pombe sana , tulihusunika sana bila kujua la kufanya maana hata harudi nyumbani bila kunywa kwanza, anaamkia bar bila kujali atafukuzwa kazi ambayo wanawe tulikuwa tunaitegemea, LAKINI KISUKari na BLOOD pressure ni kiboko hataki hata kusikia harufu ya pombe achilia mbali kuona chupa tu anahisi pressure na sukari vinapanda sasa kwa kweli hadhi yake katika jamii imeanza kupanda tena ! poleni sana mnaosumbuliwa na walevi!
 
Nazani hata ndugu yangu alikuwa na tatizo kama hilohilo na akashauliwa atumie maziwa ya mbuzi.

NB: HAYA MAZIWA YATAPUNGUZA UTUMIAJI WA POMBE NA SIO KUACHA KABSA

enjoy++
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…