Hawezi kukudhuru ukiwa unataka dawa huwezi kabisa kufikiria mambo hayo unayoyafikiria wewe kwanza hao wadudu HIV wakiingia kwenye pombe watasalimika? Au au mkuu unapenda kuuliza maswali tu? Matone ya maziwa ukiyatia ndani ya Glasi ya Pombe je hao wadudu wa HIV? watakuwa bado wazima? mkuu
Super Handsome Ukitaka kuuliza swali fikiria hilo swali unalo uliza mara2 kisha ndio ulilete hapa kwenye Thread sio kila unachofikiria ndio unacho kileta hapa utakuwa umekosea. Nenda kasome au kawaulize waliokuzidi kielimu watakujibu.