Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Nitaamini VP maziwa ya huyo mama kama yapo salama, what if akiwa no HIV+?
Hawezi kukudhuru ukiwa unataka dawa huwezi kabisa kufikiria mambo hayo unayoyafikiria wewe kwanza hao wadudu HIV wakiingia kwenye pombe watasalimika? Au au mkuu unapenda kuuliza maswali tu? Matone ya maziwa ukiyatia ndani ya Glasi ya Pombe je hao wadudu wa HIV? watakuwa bado wazima? mkuu Super Handsome Ukitaka kuuliza swali fikiria hilo swali unalo uliza mara2 kisha ndio ulilete hapa kwenye Thread sio kila unachofikiria ndio unacho kileta hapa utakuwa umekosea. Nenda kasome au kawaulize waliokuzidi kielimu watakujibu.
 
Hawezi kukudhuru ukiwa unataka dawa huwezi kabisa kufikiria mambo hayo unayoyafikiria wewe kwanza hao wadudu HIV wakiingia kwenye pombe watasalimika? Au au mkuu unapenda kuuliza maswali tu? Matone ya maziwa ukiyatia ndani ya Glasi ya Pombe je hao wadudu wa HIV? watakuwa bado wazima? mkuu Super Handsome Ukitaka kuuliza swali fikiria hilo swali unalo uliza mara2 kisha ndio ulilete hapa kwenye Thread sio kila unachofikiria ndio unacho kileta hapa utakuwa umekosea. Nenda kasome au kawaulize waliokuzidi kielimu watakujibu.

Acha kupanic, nieleweshe! Kwahiyo virus vya ukimwi havi survive kwenye pombe?
 
Acha kupanic, nieleweshe! Kwahiyo virus vya ukimwi havi survive kwenye pombe?
Virusi vya Ukimwi Vitaweza kivipi kuokoka kwenye pombe? Haviwezi kabisa kuokoka hivyo Virusi vya Ukimwi kwenye pombe Mkuu Super Handsome Mimi ninatibu huo ugonjwa wa Ukimwi aka HIV , Ugonjwa wa Pumu, ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo Ugonjwa wa Hepatitis B Virus, Ugonjwa wa Saratani ya aina yoyote ile Ugonjwa wa UTI Sugu, Ugonjwa wa TB, Ugoınjwa wa Kisukari, Maradhi ya Presha BP, Ugonjwa wa uvimbe kwenye mfuko wa Uzazi Fibroid,Nguvu za kiume na Maradhi ya Bawasiri ukihitaji huduma zangu za Matibabu bonyeza hapa.Mawasiliano
 
Dawa ya Pombe (Makufuli) ni Lowassa! (joking). Mimi si mtaalam wa mambo hayo, nina hakika wenye kujua wamekupa na wataendelea kukupa ushauri.
 
Pombe huwezi kuacha kwa kujadiliana na mtu wala hakuna dawa ya namna hiyo.

Ni wewe tu kuamka na kusema sasa basi, yatosha. Inawezekana kabisa maana hukuzaliwa nayo hiyo wala hutakufa sababu umeacha pombe. Hivyo pombe waachie kina namanyele tu.

Kweli kabisa "It works if you work it" Alcoholics Anonymous (A.A)
 
Jamani naomba msaada nina ndugu yangu ni mlevi sana mpaka anasahau kwenda kazini.

Naomba kwa anayejua dawa ya kuacha pombe anisaidie.
 
Mi ni mnywaji mzur wa pombe na mimi nimejaribu kuacha mara kadhaa nimeshindwa ninachofanya kwa sasa ni kuweka malengo na kuhakikisha yanatimia. Kwa mfano kama nimeamua kujenga nyumba mwaka 2015 nasimamamia hilo automatic nimejikuta nimepunguza sana pombe kwa ajili hiyo na namna bora ya kuhakikisha unatimiza malengo hayo lazima utafute mtu wa kumshirikisha awe mkeo mpenzi au ndugu. Na pia usipende kukaa na pesa nyingi kwa mfano kama unahitaji tofali elfu mbili na mfukoni una laki sita bora ukailipe kwa muuza tofali kuliko kusubir had ifike milioni mbili maana utashawishika utapiga bia. Kuacha pombe ni kati ya mambo magum sana mwanadamu anaweza kufanya kama si kwa ugonjwa.
 
Kama mkeo ananyonyesha mwambie akamulie maziwa yake kwenye gilasi ya pombe unayopendelea kunywa ' then kunywa huo mchanganyiko .ni dawa tosha hutakunywa pombe milele

mmh kweli dada? hiyo dawa nouma
 
nenda kwa kanisa uokoke Yesu ataondoa kiu ya pombe mm ni shuhuda wa hilo harufu ya pombe kwangu ni tatzo but zamani nilikesha kwenye mabaa
 
Back
Top Bottom