SamTu160
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 624
- 568
Tatizo ni kunywa, na ile thirsty ya kunywa.sasa tatizo si huyo shetani anayekushawishi au kuna lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kunywa, na ile thirsty ya kunywa.sasa tatizo si huyo shetani anayekushawishi au kuna lingine
Ni sheedah mkuu, ni zaid ya popoDamn.....
Pole sana mkuu.
Mina pombeka ingawa sio kama wewe kiivyo aiseeee
Na kwa hii mida ulio weka hili bandiko kweli nashawishika kuamini kwamba tungi limekuharubu kabisa.
Maana mida hii ni usiku mnene ilipaswa uwe umelala fofofo lakini ona sasa usingizi umepata kwasababu ya stress
Mkuu tunatokaje aiseesame to me
Mkuu unapatikana upande gani wa nchi......kuna kitabu kimenisaidia tuma 5,000 nikutumie kwenye basi. serious.
Si umtajie tuu jina la iko kitabu ili akinunue huku huku! Au na wewe unataka kutokea kwenye matatizo ya wengine?kuna kitabu kimenisaidia tuma 5,000 nikutumie kwenye basi. serious.
Anakamatia fursa teh tehSi umtajie tuu jina la iko kitabu ili akinunue huku huku jina. Au na wewe unataka kutokea kwenye matatizo ya wengine?
Deo, am fade up.... Nahitaj kuchomoka kwenye hili janga.I know how it feels
Usifikiri ni rahisi kiasi hicho. Mimi binafsi namuelewa.Ndo tatizo la vijana wa kibongo,mtu huna hata bajaji,nyumba,wala banda tu la kuku umehamishia kwe pombe! Alaf mwisho wa siku unatafuta mchawi oh nimerogwa mbona pesa hazikai! Mara lile loh.ndugu kama ulivyoanza kunywa na ndivyo uache kunywa.ukiona unashindwa tafuta mchuchu mmoja decent mwenye kujitambua na kujielewa mueleze shida yako kama utakubalika moyoni mwake mueleze tatzo lako naye atakusaidia.
Tatizo ni kunywa, na ile thirsty ya kunywa.
unatakiwa kwenda kwenye makanisa ya wokovu, zungumza na pastor the whole story, sometimes ni evil forces destined to destroy your destiny..Wakuu naomba ku share na nyinyi hii tabia nahitaj msaada for real.
Mimi ni kijana wa miaka 27, na tabia hii ambayo sio ya kuiificha. Weekend hii nilikuwa naona mnamsema Kitwanga lakini Kuna vitwanga wengi JF na mitaani. Kilevi/beer natumia kupita maelezo. Maisha yangu yamekuwa ya kula bata viunga vya jiji la marahaba. salary yote inaishia kwenye vyupa
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini, najaribu kuacha nashindwa. Nisipokunywa nakuwa very decent & smart young man. Lakin nikinywa tu nakuwa chakaramu.
Mbaya zaidi imenifanya nisiwe serious kabisa hata kwenye issues ambazo ni very critical. Na offisini nimeanza ku underperform.
Nimekuwa mtu wa mawazo sana Nisipokunywa. Kinachonishangaza ni kwamba mchana siwez kugusa beer. Lakini ikifika saa tatu usiku shetani ananishawishi naondoka kwangu kuelekea viwanja vya mbali. Huko
Nitapiga kamnyeso mpaka kumi za usiku nikirudi hoi. Pombe ni source of all evils trust me people.... Na mbaya zaidi inazeesha sana.
I wish to change, i wash to focus on life. I wish to have a beautiful family Lakin sijui nachomoka vipi. Naweza jizuia wiki Mbili lakini nikizipatia nafidia siku zote ambazo sijapata. This is not normal.
Maji haya ya Mzungu yamenikamata akili mpaka naona soon nitatumbuliwa jipu.
I was handsome mpaka namaliza chuo. Nilikuwa nikitembea wasupaaaa (babies) wanani admire. But currently nipo very rough hata kesho sijui nitavaa nini kwenda officin.
Sina savings, sina kiwanja, sina mchumba
Jina kubwa maendeleo zero..... Nilikuwa na aminika Lakin sasa hivi hakuna anae ni trust including my family members.
Nataka toroka kwenye hili pepo chafu. Kama Kuna sehemu ya maombi/tiba ya ki science ya uhakika please naombeni msaada. Na kama mpo young men wa type hii badilikeni kimea sio kitu kizuri.
Note. Hii excuse ya ku control it's not real. Pombe huwezi control, overtime itakuzidia tu.
hamna kitu sipendi kama hizi stroryunatakiwa kwenda kwenye makanisa ya wokovu, zungumza na pastor the whole story, sometimes ni evil forces destined to destroy your destiny..
After PRAYERS you will see changes, This is real!!
Paulo anasema ninachotamani kukitenda sikitendi, ila nisichotamani kukitenda ndio nakitenda, that is external forces
muache aliyechoshwa na tatizo afanye maamuzi mapyahamna kitu sipendi kama hizi strory