Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Sio Kweli, Kutenda Jambo Jema Au Ovu, Ni Ushawishi Na Msukumo Toka Nje!!! Hivi Wataka Kutuambia Hapa, Eti MTU Ambaye Hajawahi Kuonja Na Wala Hajui Radha Ya Pombe Na Hana RAFIKI /MARAFIKI Wake Wa Karibu Wawe Wa Kike / Kiume, Ambao Wao Ni Wazoefu Ktk. Mambo Hayo!!!! YEYE Binafsi Anaanza Vp Kwenda Bar Na Kuagiza Pombe Na Kuanza Kunywa!?? Bila Ya Kuwa Na Kampani Ya KUMSHAWISHI!!! VIVYO Hivyo Ataanza KUSHIRIKI Ktk. Kutenda Yalio Mema, Wkt Watu Walio Karibu Yake Woote, Wapiga Gambe, Msuba, Ngada, Wazinzi N.k!!!!!??? HIVYO Ni Wazi Kuwa" IBILISI WA MTU NI MTU "WALA Halina UBISHI!!! UKIWA Ndani Ya Kundi La Marafiki Mwema, Basi Utashawishika Kuiga Mema Na Kwa Wale Wa Watenda Maovu, Kadhalika Utaiga Yale Watendayo!!!
Uko sawa kabisa mkuu,kuna msemo unasema;

"Show me ur friends and i'll tell you who u are"
na msemo mwingine husema:
"Show me ur friends and i will tell u ur future"
 
Pombe unaamua tu ghafla alafu ndio basi.

Ila ukiiona glass inatoa povu ni kishawishi kikubwa ajabu
 
husika na mada tajwa hapo juu

leo nimemshuhudia mtu kanywa vikonyogani vidogo vitatu ndogo yake ya yule jamaa anatunisha misuli kwenye chupa(wanaviita vischana sijui) ndo mara ya kwanza halafu kwa sababu katapeliwa
jamaaa ameteseka sanaa alikua analia tu na hakua amekula kitu tangu asubuhi anatia huruma sana kila mda anasema anakufa ila tumemsaidia yupo vizuri sasa hivi nlikua namuelewa sana tu anavyojiskia

huyu jamaa amenikumbusha na mm kwa mara ya kwanza nilivyokunywa pombe,ilikua wine kipindi nipo boarding school siwezi sahau niliona kama deka inapaa nilitapika sanaa chumba kizima kilikua kinanuka pombe kwa kweli nilijuta na nikajiapiza sitokunywa tena,hangover yake ilinikaa kama siku mbili hivi mdomo nlikua nahisi kama una nuka wine mda wote hata nipige mswaki vipi,nikawa najihisi nanuka pombe masaa 24 nlijiskia vibaya sana nikajiapiza sitokaa ninywe pombe tena..tangu siku hiyo nikisikia harufu ya wine natamani kutapika..sikukoma

mara ya pili nilikunywa kilimanjaro nikatapika sana,nikajua haya mambo sio yangu niaachana nayo mpaka leo sijui hata bei ya bia..nashukuru mungu mwili wangu una react vibaya kwa pombe

najua kuna watu wanataka watoke huko na wengine wanataka waende ..tuanze na hawa waliotoka,kisa gani mlikutana nacho mpaka mkaacha,njia gani mlitumia kuacha
Katika resolution zangu za 2004 mojawpo ilikuwa kuacha pombe na nimeiheshimu hadi leo
 
Nilikuwa nakunywa bia 2 nalewa sana hata kesho kazini nakuwa mgonjwa nikaamua kuacha tu, miaka kama kumi iliyopita.
 
husika na mada tajwa hapo juu

leo nimemshuhudia mtu kanywa vikonyogani vidogo vitatu ndogo yake ya yule jamaa anatunisha misuli kwenye chupa(wanaviita vischana sijui) ndo mara ya kwanza halafu kwa sababu katapeliwa
jamaaa ameteseka sanaa alikua analia tu na hakua amekula kitu tangu asubuhi anatia huruma sana kila mda anasema anakufa ila tumemsaidia yupo vizuri sasa hivi nlikua namuelewa sana tu anavyojiskia

huyu jamaa amenikumbusha na mm kwa mara ya kwanza nilivyokunywa pombe,ilikua wine kipindi nipo boarding school siwezi sahau niliona kama deka inapaa nilitapika sanaa chumba kizima kilikua kinanuka pombe kwa kweli nilijuta na nikajiapiza sitokunywa tena,hangover yake ilinikaa kama siku mbili hivi mdomo nlikua nahisi kama una nuka wine mda wote hata nipige mswaki vipi,nikawa najihisi nanuka pombe masaa 24 nlijiskia vibaya sana nikajiapiza sitokaa ninywe pombe tena..tangu siku hiyo nikisikia harufu ya wine natamani kutapika..sikukoma

mara ya pili nilikunywa kilimanjaro nikatapika sana,nikajua haya mambo sio yangu niaachana nayo mpaka leo sijui hata bei ya bia..nashukuru mungu mwili wangu una react vibaya kwa pombe

najua kuna watu wanataka watoke huko na wengine wanataka waende ..tuanze na hawa waliotoka,kisa gani mlikutana nacho mpaka mkaacha,njia gani mlitumia kuacha
Nilipookoka tu nilijaribu kunywa ikawa chungu sana nikaacha moja kwa moja na sijanywa tena na wala sitakunywa tena. Ukiwa na Yesu ndani yako kiu yote ya pombe inaondoka. Karibu kwenye wokovu.
 
Dawa ya pombe fanyeni hivi: mumvie akiwa amelewa, mumnyweshe maziwa fresh ya punda kihongwe, atatapika sana na tokea siku hiyo hatatamani tena pombe katika maisha yake
 
Salamu wakuu,

Katika mihangaiko yangu ya wiki au siku huwa napita seemu zetu kupata moja moto moja baridi,kunawakati hua najipanga kabisa ngoja leo nikapige za kutosha, lakini hua nikishapiga kadhaa,system ikifika equilibrum nakua siwezi ongeza tena,nikiongeza hata moja tu inakua ni kupoteza memory.

Kwa wazoefu wa ivi vitu,naomba kujua ni vitu gani hua vinasaidia kupunguza pombe kichwani na kukufanya urudi kua active ili uendeleze mtanange? Najua leo ni weekend hii mada itawagusa sana watu.

Nawasilisha
 
Kamata supu ya samaki ndugu utakuwa pouwaa kabisa usisahau ndim nyingii na mama awe pembeni
 
Redbul huwa inakata kilevi kwa asilimia fulani....but usinywe zaid ya mbili. Mimi nime prove hiyo kitu na huwa inanisaidia.
 
Back
Top Bottom