Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Mi Niliamua tu kuanzia siku hiyo staki pombe ikawa ngumu kuamini lakin kadri nilivyoanza kuzoea nikawa najipa moyo tyr nimeamua sirudi nyuma mi pombe basi mpaka leo mwaka wa pili huu sitaki kuisikia.
 
Ulanzi kitu kibaya sana niliacha hizi kitu baada ya kuteguka mkono sitasahau!
Babu alinipa mputa nikapiga kumbe dozi imezidi sasa wakati wa kurudi kwa bibi ndo ikawa inshu nilikula mweleka mmoja sitasahau maumivu yake yalinikomesha mpaka kesho sitaki ulanzi
Ila bia siipendi kwasababu ya ladha yake na harufu yake mbaya sana!
 
Ulanzi kitu kibaya sana niliacha hizi kitu baada ya kuteguka mkono sitasahau!
Babu alinipa mputa nikapiga kumbe dozi imezidi sasa wakati wa kurudi kwa bibi ndo ikawa inshu nilikula mweleka mmoja sitasahau maumivu yake yalinikomesha mpaka kesho sitaki ulanzi
Ila bia siipendi kwasababu ya ladha yake na harufu yake mbaya sana!
lakini nyingine unapiga
 
Siku hiyo nimetoka zangu arusha nimekuja dar kutokana na ubaili nikaona ninye safari za moto mixer + mixer joto la dar nilileta vurugu sana kesho yake niliamka sijielewi kwanzia siku hiyo nilisema sinto kunywa tena bia zaidi ya mbili kweli tokea hiyo mwaka jana hata ulete gari limejaa bia nitachukua zangu mbili tu zinanitosha
 
Mtu asiekunywa pombe huwa na mfananisha na yule anae ipenda pepo alaf ajui bei ya jeneza wala size ya jeneza lake au ambae ajui hata bei ya sanda sasa sijui huwa anawazaga pepo ipi kama.afikirii kufa ?
 
Siku hiyo nimetoka zangu arusha nimekuja dar kutokana na ubaili nikaona ninye safari za moto mixer + mixer joto la dar nilileta vurugu sana kesho yake niliamka sijielewi kwanzia siku hiyo nilisema sinto kunywa tena bia zaidi ya mbili kweli tokea hiyo mwaka jana hata ulete gari limejaa bia nitachukua zangu mbili tu zinanitosha
hahaha duu
 
Kuna msela kitaani kwetu naye alipigwa miti na wahuni baada ya kukolea ulabu lakini cha ajabu mpaka leo bado yupo kitaa hana noma wala nini...anadai hao wahuni wamef.i.ra pombe na sio yeye!.
Hahahaaaaaaaa
Huyo ananikumbusha nikiwa uswahilini siku moja nasukwa akatokea mlevi wa mataptap mchana jua kali anajaribu kurudi nyumbani ila miguu badala ya kukanyaga ardhi inainuka juu na yeye anakula mweleka hehehee.
Wakatokea wababa 2 wako soba wakawa wanataka kumsaidia kumvusha barabara wampeleke kwake akawa hataki wakambeba mgongoni akajiangusha chini yaani alikuwa hooii.
Wale wadada wasusi wakasema wale wababa wenzie sio wasamaria wanataka wampeleke mafichoni akilala wamkandamize na madudu yao. Ndo wakaelezea kuna babu mwingine hapo jirani yeye vijana wa mtaani wanamheshimu hivo alivolewa akalala wakampeleka machakani na kumvua suruali kisha wakampasulia ute wa yai matakoni. Alipofika asubuhi akajua alishachezewa mchezo mbaya tangu siku hiyo anaacha pombe.
Mie binafsi ulevi wangu ni dushee tuu na sijui ntaachaje ulevi huu.
 
mimi sijaacha, ila nimepunguza sana, maana ukinywa sana ukalewa mziki wake kesho asubuhi ni balaa
pombe ina raha yake kama ukinywa kistaarabu hasa ukiwa na marafiki mazungumzo yanakolea yaani ni raha balaaa
ila usinywe kila siku maana utafilisika na ukinywa usilew maana shida utakayopata kesho yake inaondoa raha ya jana yake kabisa
 
Ukitaka kuenjoy zaidi gambe,changanya na metronidazole kidonge kimoja tu

Utakuja jamvini kusimulia wadau
 
MIM niliacha gambe miaka 3 mizima,ajabu nimerudi tena napiga fungi kupotezea tu mambo mwingine ila Nataka mwaka huku niache jumla naomba maombi yenu watu Wa Mungu mlio humu,pombe c kitu kizuri
 
Hahahaaaaaaaa
Huyo ananikumbusha nikiwa uswahilini siku moja nasukwa akatokea mlevi wa mataptap mchana jua kali anajaribu kurudi nyumbani ila miguu badala ya kukanyaga ardhi inainuka juu na yeye anakula mweleka hehehee.
Wakatokea wababa 2 wako soba wakawa wanataka kumsaidia kumvusha barabara wampeleke kwake akawa hataki wakambeba mgongoni akajiangusha chini yaani alikuwa hooii.
Wale wadada wasusi wakasema wale wababa wenzie sio wasamaria wanataka wampeleke mafichoni akilala wamkandamize na madudu yao. Ndo wakaelezea kuna babu mwingine hapo jirani yeye vijana wa mtaani wanamheshimu hivo alivolewa akalala wakampeleka machakani na kumvua suruali kisha wakampasulia ute wa yai matakoni. Alipofika asubuhi akajua alishachezewa mchezo mbaya tangu siku hiyo anaacha pombe.
Mie binafsi ulevi wangu ni dushee tuu na sijui ntaachaje ulevi huu.
hako kamchezo ka kupasuliana ute hatari sana unaweza ukakimbia mji
 
Nimesgajiapiza Mimi na pombe damu damu....na ssijahi kupata majanga makuuubwa kikubwa ni kunywa ukijua kesho ipo ila ukinywa kama vile unakufa hivi karibuni lazima ubakwe tu.
 
Nimesgajiapiza Mimi na pombe damu damu....na ssijahi kupata majanga makuuubwa kikubwa ni kunywa ukijua kesho ipo ila ukinywa kama vile unakufa hivi karibuni lazima ubakwe tu.
hivi unajua kuna watu wanakunywa siku zote zaba za wiki??yaani hawezi kulala mpala anywe
 
Back
Top Bottom