Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Kuna jamaa ni mshikaji wangu wa mtaa mmoja yaani wale wa kukua wote. Akasoma ila kazi hakupata ( sasa ndo nimejua ni pombe ) . Tulipotezana kama 12 years, sasa juzi ijumaa tukakutana ile anafika bia ya pili nikaona jamaa anamuinua huyoo wakaondoka, baada ya muda jamaa ( yule aliyemsindikiza) akarudi peke yake tukaendelea sikuuliza kitu.

Kesho yake jmosi nikamtafuta jamaa mida ya mchana kupiga story za hapa na pale na moja moja. Bia ya tatu hoi kufika ya nne anaongea kichina. Mara kutapika kupepesuka na kuongea ovyo. Ofcourse nili-mind nikamuacha.

Sasa Jana ndo napewa story jamaa ni addict wa alcohol na hata mke Baba yake ilibidi alazimishe jamaa aoe. Na kazi hakuwahi kupata sababu ya ulevi na akirudi nyumbani anaweza kulala nje hadi morning.

Addict huyu akigonga chupa tatu tu, damu ishazoea basi anawaka mbaya.

Sasa mkuu mleta mada nimechangia hiyo story ujue mbele itakuaje. Jaribu kupunguza taratibu kama ilikuwa unapiga kumi ishia tatu na utaweza tu pale utakapoenda baa ambayo hujulikani na pesa ya bia tatu tu ili ikiisha uondoke. Ukienda baa unayojulikana utakopa.

Pombe ni nzuri uki-control kidogo ila ikizidi unajuta kuifahamu.
 
Mimi nilikua kama wewe ila nimepunguza sana kwa njia ifuatayo.
Nilichukua mkopo mref benki nikawa na makato ya laki 5 kwa mwez, benki inaingia laki 2 tu ambayo inabid nibakize laki kwajili ya chakula na laki kwajili ya dharura. Haipatikani ya kunywa.

2. Baada ya kuchukua mkopo wa milioni 8 nikajitaid kusimamisha ka kibanda changu cha rum 3 had kwenye lenta. Nikichukua kwa trip yapili namaliza kabisa.

Note. Ukichukua mkopo mrefu Fanya kitu cha msingi kisha kaa utulie.makato makubwa yatakupa nidham ya pesa hutakua nayakunywa
 
Huyu hujamuelewa
Hata akienda na ten
Ikiisha
Atakopa!
 
Mchuchu ni wewe?sasa si utangaze nia umsaidie? ya nini kuzunguka mbuyu?
 
duh!. ila huyu siyo addict bali pombe haimpendi. addict hawezi lewa pombe tatu.
 
Sometimes watu mnakesha sababu ya kutafta mapenzi ya kuuzwa na sio bia
Mkuu sio mnunuzi mimi, kama huwani let's connect each other... Get to know me then you ll come to a conclusion that am very different person... Ni hii kitu tu inayoharibu penzi. Hakuna lady atakae kuwa tayari unarud night kali. Naenda alone kwenye pubs, narud alone.
 
vipi akikuchagua wewe umsaidie hilo tatizo??

au wewe sio decent na hujitambui??

 
Huko si mshauri bora aendelee kunywa tu, unataka kumpa matatizo mengine!
 
mkuu kufa kufaana bhana mwache mwenzio amtumie hela amtumie kitabu kwa basi
Mkuu anaweza kusema yupo Wapi, na connection nchi nzima. Naweza nika mu assign ampe mtu, au atage jina nita download au kununua bookshop. Tusiwe watumwa wa pesa Aneth Joseph, hujui unaemsaidia akiwa na problem Mungu atakupa vingapi....
Wakati mwingine kufa kuumizana mark my words.
 
Pombeeeeeeeee.......afadhali upende pombe kuliko upende ngono
 
uongo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…