Ni sawa kila mtu anapenda hivyo, ila ujue pombe na sigara ndio vitu vinakuza sana uchumi wa nchi, kuanzia kodi, mauzo ya malighafi kama sukari, shayir, ngano, mahindi, tumbaku nk. Pia ajira nyingi sana zimetengezwa kwa ajili ya pombe kuanzia breweries kwenyewe, wauzaj wa jumla mawakala mpaka ma bar maid na tender. Kwa hiyo generally pombe na sigara (hukuisema but i assume) ina athar kubwa sana kichumi kuliko unavyoweza kufikiri na dunia hii wameshindwa kuzuia.
Amin nakwambia wakisema wazuie leo hii Tanzania hata ww mleta mada source yako ya kipato itashake kidogo.