azikala ngulukizi
Senior Member
- Mar 23, 2016
- 190
- 124
Dawa ni kuacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ni kuacha
AHSANTE KWA USHAURI MPWA.Duh mpwa kumbuka hii nchi inatutegemea sana kwenye suala la mapato ili hosp ziwe na dawa,shule ziwe na vitabu na barabara za lami pia tafadhali usitukimbie tujenhe nchi.
Dawa ya kuacha any addiction ni wewe mwenyewe kwanza lazima itoke ndani ya nafsi kua sasa basi wewe tia nia tu ikiwezekana punguza dozi ya tungi kwa vipimo na usikae mazingira hatarishi na epukana na marafiki wa tungi mpaka utakapo-stablize kabisa mimi aya madawa hua naona hadithi sana muhimu ufanye maamuzi kila la heri mpwa ila mimi sitaki hata kusikia kuacha tungi ndio starehe yangu ambayo hainipi tatizo kabisa.
Nitaifanyia kazi mkuu nakuleta mrejesho.Dawa ya kuacha kunywa pombe mtafute mama anyonyeshae maziwa mtoto akutilie kidogo maziwa yake kwenye pombe yako bila ya wewe kujuwa ukinywa tu hiyo pombe utaacha kunywa tena maishani mwako jaribu kisha uje unipe feedback.
MziziMkavu bana.. ataniwekeje bila kujua wakati nimemtafuta mwenyewe?Dawa ya kuacha kunywa pombe mtafute mama anyonyeshae maziwa mtoto akutilie kidogo maziwa yake kwenye pombe yako bila ya wewe kujuwa ukinywa tu hiyo pombe utaacha kunywa tena maishani mwako jaribu kisha uje unipe feedback.
Mimi nataka kuacha sigara nifanyeje?Fanya hivi.Tafuta dawa inaitwa disulfiram uwe unatembea nayo mfukoni,ukitaka tungi unachanganya na glass moja ya bia,i promise you utaacha
Alternatively you can use metronidazole tabs[emoji23][emoji23]
JITATUTIE MARAFIKI WAPYA WASIOKUNYWA EPUKA MARAFIKI WALEVIKwenu wana jamvi nimejaribu kuacha tungi nimeshindwa hivyo nimekuja kwenu ninyi kama kuna mtu anafahamu chakufanya tafadhali anisaidie nimeshindwa kuacha kabisa<hapa nilipo natamani kwenda kugonga moko!
mvizie akiwa amelewa then chukua pombe kidogo uchanganye na maziwa ya kondoo mpe anywe atatapika sana lakini hata kufa wala kupoteza nguvu, kuanzia siku hiyo hatataka hata kuiona pombe!
Maziwa ya kondoo apo unamaliza kazi,hatakaa aguse pombe tena
Teh teh teh teh
- Dah..hataree sana.. Juzi kati tumemuwekea jamaa yetu haya maziwa, cha ajabu ndiyo kaongeza unywaji na anang'ang'ania atiliwe tena hayo maziwa kwani yanaongeza stim 🙂
Anaacha kwa kuachaSijakataa, sasa anaachaje?
Ah ah ah ah huyo ndio shujaaaa
- Dah..hataree sana.. Juzi kati tumemuwekea jamaa yetu haya maziwa, cha ajabu ndiyo kaongeza unywaji na anang'ang'ania atiliwe tena hayo maziwa kwani yanaongeza stim 🙂