Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Tbl na serikali yako watapata wapi mapato - mwacheni azitwange as long as hazimpotezei maisha. Kuna percentage inaenda kununua madawati, madawa hospitalini nk
 
daah aisee,kweli duniani wawili wawili,na mimi nina tatizo kama lako!! em njoo hapa mikasa pub riverside tujadili namna ya kujinasua
sasa mkuu kujinasua na pombe tena pub kikao cha mazungumzo duuh? mmmhhh!! bora hata mwende bustanini au nyumba za ibada au hata ndani ya gari lenu daaaah, pub tena? sioni mwanga mbele hata kwa tochi kama huko pub ndiyo pa kujinasulia aisee!
 
Nenda pharmacy kanunue dawa inaitwa disulfirum inabidi ufuatilie muda ambao hua anapenda kwenda kunywa pombe Sasa unachotakiwa kufanya kabla hajaenda kunywa pombe muwekee hiyo dawa kwenye maji ya kunywa au juice hii inashauriwa sana kwa mke wake ndo umuandae bila yeye kujua ukishafanya hivyo acha akanywe pombe nakuhakikishia harudii tena kwani atatapika, kuharisha , kichefuchefu , kizunguzungu na vingine kama hivyo ukifanya hivyo kwa mara kwa Mara ataacha kunywa pombe kwani hatakua na amani tena akinywa pombe
 
Mfate Boss wake mwambie asimlipe mshahara kabisa, yeye afanye Kazi tu
 
  • Dah..hataree sana.. Juzi kati tumemuwekea jamaa yetu haya maziwa, cha ajabu ndiyo kaongeza unywaji na anang'ang'ania atiliwe tena hayo maziwa kwani yanaongeza stim 🙂
Umenichekesha tuu hapo..
 
Back
Top Bottom