Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Mambo ya kunywa huku una stress za kuacha n msalaa...pombe itazid kusulubu we kunywa kadri uwezavyo itakuzuoea tuu..na utajikuta unanyooka fresh usipende kuangalia wanao kubeza we yatwange

Pombe n tamu jamaniii
 
Kwa hali ya sasa hivi wala usitafute dawa, hiyo hali itapotea yenyewe kwa ukata
 
MAMBO VP WANA JF..

MIMI NI KIJANA WA MIAKA 27...NIMEFANIKIWA KUPATA KAZI NZURI TU LAKINI TATIZO LANGU NI ULEVI... NIMEKUWA NIKITUMIA PESA ZANGU VISIVYO... NIMEKUWA MLEVI KUPINDUKIA NIMEJARIBU KUJI CONTROL BIA 3-5 LAKINI NIMESHINDWA... JUZI NIMEKOSWA KOSWA NA AJALI NILIKUA NIKI DRIVE UKU NIMELEWA...

MSAADA JAMANI KAMA KUNA DAWAYOYOTE YA KUACHA KUNYWA POMBE MNISAIDIE IWE MITISHAMBA AU DAWA ZA KAWAIDA... NIOKOENI KIJANA MWENZENU
 
Wakuu msaada kwa huyu ndg tumpeni namba ya Kalapina apelekwe Soba house Hakuna msaada zaid wa dawa la kuacha pombe! Hiyo kibaolojia tunaita addiction na vgum mtu aliekuwa addiction kuacha pombe kizembe
 
Usiogope, siku ukipata ajari ulevini utaacha. Mimi nililewa nikaendesha gari. Nikasinzia nikiwa nagonga gia, nilistukia nikiwa kwenye mtaro halafu gari halitamaniki halafu llilikuwa la kuazima.

Pombe ziliniisha, kulitoa gereji nilitokwa jasho, nikaapa kuacha pombe, baada ya mwezi nilirudi kwa kasi mpaka leo ni gambe mtu
 
Ulevi umekuwa ni janga la kitaifa...utasikia mara kajisaidia haja zote kwenye suruali,mara kalala mtaroni n.k
Hivi tuwafanyie nn huku kitaa ili wasidhalilike jamani....toa maoni yako hapahapa!
 
hawa ni watu wa kuheshimiwa sana, wanaendesha bajeti ya nchi kwa kiwango kikubwa. Hawa ndio wananunua madawa, wananunua ndege za Ngosha. Usiwadharau hata siku moja.
Shika adabu yako
 
Akishalewa muache mpitishe kwa wahuni kisha mkimbie aje mwenyewe nyumbani....kesho akija bila nguo ujue keshapona huyo....
 
Aisee mi pombe siezi acha nikiapa sinywi tena ndio nazidisha mazima!! Saivi hapa niko maji mbaya mungu tu anisaide niache
 
Njia ya kuacha pombe ni kuacha kwenda baa na kuacha kunywa pombe popote, ni hivyo tuuu, utadanganywa na dawa za kila aina basi tuu kukuibia pesa zako. Wakati unaanza kunywa ulitumia dawa yoyote? Jibu ni Hapana, hivyo basi kuacha pia ni UACHA KUNYWA TUUU baada ya muda utazoea
 
Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…