Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Yesu hakuwahi kuzungumzia mambo ya chooni bali ufalme wa mbinguni.
Acha upotoshaji kenge wewe.
Anyway ubarikiwe kwa kuacha pombe
 
Tatizo nililonalo ni namna ya kuwakomboa wale waliokuwa walevi wenzangu, hawaafikiani bado kwamba hii kitu ni najisi toka enzi za Kristo Yesu na baadaye mtume Mohammad.
 
Mi hapa nasubiri muda wa kazi uishe nikajipatie UKAWA yangu ya baridiii kwa dada emmy loliondo pub. Elfu sita unapata iba nne , wacha tu.
 
viroba vimefungiwa hela ya bia mpaka ulewe ni mtihani mkubwa utawala huu
hamia kwenye gongo tu mkuu
 
Tatizo nililonalo ni namna ya kuwakomboa wale waliokuwa walevi wenzangu, hawaafikiani bado kwamba hii kitu ni najisi toka enzi za Kristo Yesu na baadaye mtume Mohammad.
okoa roho yako waombee walevi wenzio
 
jina la bwana Yesu litukuzwe...

furahaaaa mwenye mdhambi mmoja akitubu *2
na siku moja tutapaa kwenda nae mbinguni *2
kwilililililiiiii karibu katika utumishi wa bwana na hongera kumkataa shetani na dhambi zake zote..

biblia inasema mwana aliyepotea alivyorudi kwa baba baba alimkaribisha na kukumbatia amen ..
amina!! Jina la bwana litukuzwe!!
 
Yesu hakuwahi kuzungumzia mambo ya chooni bali ufalme wa mbinguni.
Acha upotoshaji kenge wewe.
Anyway ubarikiwe kwa kuacha pombe
Kiongozi, Hata mimi siku nilipopata habari hizi nilihamaki sana, lakini baada ya kutafakari sana na kupitia vifungu hivi kwa kina, hasa mstari wa 2 na 6, nikaguswa mno. Najiuliza mbona chakula cha harusini hakikutengenezwa kwa mazingira duni kama haya - Mabsalasi yalitumika tu kufikisha ujumbe.
 
Kiongozi, Hata mimi siku nilipopata habari hizi nilihamaki sana, lakini baada ya kutafakari sana na kupitia vifungu hivi kwa kina, hasa mstari wa 2 na 6, nikaguswa mno. Najiuliza mbona chakula cha harusini hakikutengenezwa kwa mazingira duni kama haya - Mabsalasi yalitumika tu kufikisha ujumbe.
Ndo shida ya dotcom
 
Wakuu,

Natafuta namna ya kuacha pombe, kama kuna mtu ameweza anipe mbinu, nakunywa kuanzia ulanzi mpaka wine inshort sijachagui pombe kama ambavyo mwanajeshi achagui pori la kupigana vita.
 
wakuu natafuta namna ya kuacha pombe km kuna mtu ameweza anipe mbinu,,nakunywa kuanzia ulanzi mpaka wine inshort sijachagui pombe kama ambavyo mwanajeshi achagui pori la kupigana vita.
Hii ndio inayoitwa virobaphobia...vmeanza kuadimika mitaana watu wameanza kusema wanaacha pombeee...
 
1. Anza kutamka kwa marafiki zako kuwa umeacha pombe, hapa utapata changamoto nyingi kwanini umeacha na matusi, kebehi kadhaa. Sasa anza kuwajibu kwanini umeacha yaani kutetea points/hoja. Hii itakupa ujasiri wa kuacha sababu utaanza kunywa kwa kujificha ili kulinda hoja zako za awali,taaratibu punguza kunywa then utaacha
2. Jifunze kutokunywa pombe ukiwa bar/club hata kama unapesa siku, yaani unaenda bar unagiza soda au maji ila sio bia siku moja moja
3. Tumia muda mwingi kusoma aidha magazeti au mitandao ya kijamii nk
4. Jenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara hasa jioni. Hii itakupunguzia muda wa kwenda Bar
5. Tumia muda mwingi kufikiria maendeleo na na namna ya kupambana na changamoto za maendeleo
6. Epuka kutembea na kiasi kikubwa cha pesa mfukoni (cash)
Ni hayo tu kwa uzoefu wangu
 
Back
Top Bottom